Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,467
- 2,643
Wasalaam, leo ni tarehe 8/12/2018 tunaelekea kumaliza mwaka huku wengi tukiwa na taharuki kuhusu watu wanaoitwa wasiojulikana. Ni muhimu na vema serikali yetu sikivu ya wanyonge ikawatoa hofu watanzania juu ya Watu wasiojulikana waliofanya yafuatayo:
1.waliomtishia bastola Nape.
2.waliomchinja alfonsi Mawazo.
3.waliomteka na kumpoteza mwandishi Azoli.
4.waliopiga risasi Lissu
5.waloomteka na kumpoteza Bern Saanane
6.waliomteka MO Dewji
7.n.k
Je, inawezekana hawa watu wanaitwa wasiojulikana ni MIZIMU fulani haionekani wala kujulikana? Je, ni watanzania au watu wa mataifa?inawekana siku moja wakaja kumteka mfalme na kumpoteza kusipojulikana?
1.waliomtishia bastola Nape.
2.waliomchinja alfonsi Mawazo.
3.waliomteka na kumpoteza mwandishi Azoli.
4.waliopiga risasi Lissu
5.waloomteka na kumpoteza Bern Saanane
6.waliomteka MO Dewji
7.n.k
Je, inawezekana hawa watu wanaitwa wasiojulikana ni MIZIMU fulani haionekani wala kujulikana? Je, ni watanzania au watu wa mataifa?inawekana siku moja wakaja kumteka mfalme na kumpoteza kusipojulikana?