Tunalia Watanzania

Haitham Kim

R I P
Feb 11, 2020
11
43
Tutakuenzi kwa mengi mazuri uliyotufanyia,
Tutadumisha umoja Upendo uliyo tuhusia,
Itakuja siku moja tena tutaonana tena,
Uliyoagizwa umefanya ulale mahala pema,
Hivi ndio kweli hatukuoni tena,
Itakuaje ile mitano tena,
Wasanii tulikupenda sana,
Wanakulilia wakina mama.
 
Tutakuenzi kwa mengi mazuri uliyotufanyia,
Tutadumisha umoja Upendo uliyo tuhusia,
Itakuja siku moja tena tutaonana tena,
Uliyoagizwa umefanya ulale mahala pema,
Hivi ndio kweli hatukuoni tena,
Itakuaje ile mitano tena,
Wasanii tulikupenda sana,
Wanakulilia wakina mama.

Dah na wewe pumzika kwa amani dada yetu na msanii wetu.
 
Back
Top Bottom