Hujui source of money? Nchi hii kwani ina upungufu wa vyanzo vya mapato? Tatizo letu ni collection and allocation tu, pesa ziko nyingi sana.
Je ushajiuliza hiyo nyongeza ya posho za wabunge imetoka wapi? Nadhani hauko nchini, kwani kama ungekuwepo ungekuwa unafahamu mapendekezo ya tucta ni yepi katika kutaka nyongeza ya mishahara na vyanzo vya kuongeza mapato.
Hatahivyo najua ulishachagua upande, na hakuna mshangao kusikia kauli kama hii toka kwako.
Mapendekezo ya tucta ndio yapi? share na watu basi wewe si unajua? nipe source of money??
Maswali mengi naona ni kuongeza matumizi ya serikali (yale yale) bila kueleza pesa itatoka wapi??
Collection na allocation nayo ni chanzo? au; collection na allocation inahitaji mkakati; mkakati unahitaji pesa pia..