Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Regia Regia Regia tafadhali sana!
Frankly speaking, kwa upande wangu hii haijanivutia hata kidogo. Hivi mpaka leo kuna mtanzania yeyote bila kujali ni mbunge au mwananchi wa kawaida asiyekuwa na cheo chochote, asiyejua kero za watanzania hadi inabidi awaulize ndiyo azielewe? Aisee Regia tumekutuma huko Bungeni tukiwa tuko siriazi, unataka kuanza kufanya nini? Kumbe umeingia Bungeni ukiwa hata kero za wattanzania huzijui? Kwa nini? Ungeniambia unakusanya mawazo ningekuelewa, mawazo yanakava vitu vingi kuliko kero. Kero ni too specific kiasi ambacho sitarajii mbunge kama wewe urudi kwetu kuja kutuuliza. Tafadhali tafadhali tafadhali!
Duh mkuu yamekuwa hayo tena. Haka nako kaneno