Tunakupongeza Askofu Shao kwa uzalendo wako, Padri Mapunda, Dr Slaa kuweni na huruma

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,889
32,289
Wanabodi.

Kwa Watanzania wanaotakia mema nchi yetu wanampongeza Askofu wa Kanisa la (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Dr Martin Shao, kwa uzalendo wake alipowasihi madaktari waliogoma katika hospitali mbali mbali nchini ikiwemo hospitali ya KCMC kureja kazini huku wakiendelea na madai yao serikalini.

Wananchi wengi wamefedheheswa na kauli za Padri Babtiste Mapunda na Dr Slaa, kuunga mkono mgomo wa madaktari...Padri na Dr Slaa, waelezeni Watanzania kwa maoni yenu mgomo unamkomoa nani? Na kumuumiza nani? Je ni kweli migomo ya aina hii inawafikia walengwa na kuwaonjesha maumivu yatokanayo na mgomo?

Dr Slaa, tembelea muhimbili na kakae pale mapokezi walau kwa saa mbili tu ili uone mwenyewe wagonjwa wanavyoteseka na wengine wanavyokufa kwa kukosa huduma halafu uwaambie Watanzania mgomo uendelee hadi lini ama ujirudie mara ngapi ili kuwashikisha adabu hao unaodhani ndio wakosaji na wasiotaka kutoa stahiki ya madaktari..

Tunashindwa kuamini Dr Slaa na Padri Mapunda, wameshindwa kuwahurumia Watanzania wanaoteseka na huku wengine wakifa baada ya kukosa huduma ya kitabibu, miongoni wanaougua ni wanachama wa Chadema sasa watu hao wakifa si anapoteza wananchama.
 
Dr Slaa na Padri Mapunda ndio mwajiri wa Madaktari? Au ugomvi uliopo ni kati ya madaktari na Dr Slaa & Padri Mapunda? Mbona mzee Massnja hajasema chochote na hujamtaja? Hii obsession na Dr Slaa itaisha lini?
 
Wanabodi.

Kwa Watanzania wanaotakia mema nchi yetu wanampongeza Askofu wa Kanisa la (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Dr Martin Shao, kwa uzalendo wake alipowasihi madaktari waliogoma katika hospitali mbali mbali nchini ikiwemo hospitali ya KCMC kureja kazini huku wakiendelea na madai yao serikalini.

Wananchi wengi wamefedheheswa na kauli za Padri Babtiste Mapunda na Dr Slaa, kuunga mkono mgomo wa madaktari...Padri na Dr Slaa, waelezeni Watanzania kwa maoni yenu mgomo unamkoa nani? Na kumuumiza nani? Je ni kweli migomo ya aina hii inawafikia walengwa na kuwaonjesha maumivu yatokanayo na mgomo?

Dr Slaa, tembelea muhimbili na kakae pale mapokezi walau kwa saa mbili tu ili uone mwenyewe wagonjwa wanavyoteseka na wengine wanavyokufa kwa kukosa huduma halafu uwaambie Watanzania mgomo uendelee hadi lini ama ujirudie mara ngapi ili kuwashikisha adabu hao unaodhani ndio wakosaji na wasiotaka kutoa stahiki ya madaktari..

Tunashindwa kuamini Dr Slaa na Padri Mapunda, wameshindwa kuwahurumia Watanzania wanaoteseka na huku wengine wakifa baada ya kukusa huduma ya kitabibu, miongoni wanaougua ni wanachama wa Chadema sasa watu hao wakifa si anapoteza wananchama.

kwani msitu umekatwa miti? wakamateni mkawafanyie ya Dr. Uli maana kiwango chenu cha kufikiri kimefika ukomo kiasi cha kudhani (kipuuzi) kuwa kutesa na kuuwa ndiyo suluhu ya kushindwa kwa serikasli yenu.
 
Rudi mirembe ,mtu sio mtawala anawezaje kuwaamuru wafanyakazi wagome ? Inaleta taabu juu ya uelewa wako .Katangaze radio ya kuwa Dr Slaa ndiye kiongozi wa nchi hii.
 
Wanabodi.

Kwa Watanzania wanaotakia mema nchi yetu wanampongeza Askofu wa Kanisa la (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Dr Martin Shao, kwa uzalendo wake alipowasihi madaktari waliogoma katika hospitali mbali mbali nchini ikiwemo hospitali ya KCMC kureja kazini huku wakiendelea na madai yao serikalini.

Wananchi wengi wamefedheheswa na kauli za Padri Babtiste Mapunda na Dr Slaa, kuunga mkono mgomo wa madaktari...Padri na Dr Slaa, waelezeni Watanzania kwa maoni yenu mgomo unamkomoa nani? Na kumuumiza nani? Je ni kweli migomo ya aina hii inawafikia walengwa na kuwaonjesha maumivu yatokanayo na mgomo?

Dr Slaa, tembelea muhimbili na kakae pale mapokezi walau kwa saa mbili tu ili uone mwenyewe wagonjwa wanavyoteseka na wengine wanavyokufa kwa kukosa huduma halafu uwaambie Watanzania mgomo uendelee hadi lini ama ujirudie mara ngapi ili kuwashikisha adabu hao unaodhani ndio wakosaji na wasiotaka kutoa stahiki ya madaktari..

Tunashindwa kuamini Dr Slaa na Padri Mapunda, wameshindwa kuwahurumia Watanzania wanaoteseka na huku wengine wakifa baada ya kukosa huduma ya kitabibu, miongoni wanaougua ni wanachama wa Chadema sasa watu hao wakifa si anapoteza wananchama.

Huu ni upuuzi. Tangu mgomo ulivyoanza wamekufa watu wangapi? Unazo data? Au unafikiri kwa kutumia ma....... yako? Huduma za dharurua si zilikuwa zinaendelea? Acha siasa kwenye mambo ya msingi.
 
Wanabodi.

Kwa Watanzania wanaotakia mema nchi yetu wanampongeza Askofu wa Kanisa la (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Dr Martin Shao, kwa uzalendo wake alipowasihi madaktari waliogoma katika hospitali mbali mbali nchini ikiwemo hospitali ya KCMC kureja kazini huku wakiendelea na madai yao serikalini.

Wananchi wengi wamefedheheswa na kauli za Padri Babtiste Mapunda na Dr Slaa, kuunga mkono mgomo wa madaktari...Padri na Dr Slaa, waelezeni Watanzania kwa maoni yenu mgomo unamkomoa nani? Na kumuumiza nani? Je ni kweli migomo ya aina hii inawafikia walengwa na kuwaonjesha maumivu yatokanayo na mgomo?

Dr Slaa, tembelea muhimbili na kakae pale mapokezi walau kwa saa mbili tu ili uone mwenyewe wagonjwa wanavyoteseka na wengine wanavyokufa kwa kukosa huduma halafu uwaambie Watanzania mgomo uendelee hadi lini ama ujirudie mara ngapi ili kuwashikisha adabu hao unaodhani ndio wakosaji na wasiotaka kutoa stahiki ya madaktari..

Tunashindwa kuamini Dr Slaa na Padri Mapunda, wameshindwa kuwahurumia Watanzania wanaoteseka na huku wengine wakifa baada ya kukosa huduma ya kitabibu, miongoni wanaougua ni wanachama wa Chadema sasa watu hao wakifa si anapoteza wananchama.

Dada unajiaibishaje?
Kichwa unacho lakini hukitumii!!!
 
We una akili ya maiti'
slaa anahusikaje kwenye mgomo?
Acha kuwa na akili ya maiti! Unataka kutuaminisha kwamba slaa anahusika?. Wewe ni mwehu?
 
Wanabodi.

Kwa Watanzania wanaotakia mema nchi yetu wanampongeza Askofu wa Kanisa la (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Dr Martin Shao, kwa uzalendo wake alipowasihi madaktari waliogoma katika hospitali mbali mbali nchini ikiwemo hospitali ya KCMC kureja kazini huku wakiendelea na madai yao serikalini.

Wananchi wengi wamefedheheswa na kauli za Padri Babtiste Mapunda na Dr Slaa, kuunga mkono mgomo wa madaktari...Padri na Dr Slaa, waelezeni Watanzania kwa maoni yenu mgomo unamkomoa nani? Na kumuumiza nani? Je ni kweli migomo ya aina hii inawafikia walengwa na kuwaonjesha maumivu yatokanayo na mgomo?

Dr Slaa, tembelea muhimbili na kakae pale mapokezi walau kwa saa mbili tu ili uone mwenyewe wagonjwa wanavyoteseka na wengine wanavyokufa kwa kukosa huduma halafu uwaambie Watanzania mgomo uendelee hadi lini ama ujirudie mara ngapi ili kuwashikisha adabu hao unaodhani ndio wakosaji na wasiotaka kutoa stahiki ya madaktari..

Tunashindwa kuamini Dr Slaa na Padri Mapunda, wameshindwa kuwahurumia Watanzania wanaoteseka na huku wengine wakifa baada ya kukosa huduma ya kitabibu, miongoni wanaougua ni wanachama wa Chadema sasa watu hao wakifa si anapoteza wananchama.
WAKIRUDI KAZINI BILA MAHITAJI YAO KUTEKELEZWA NI HATARI ZAIDI KWA WAGONJWA MAANA,wao walikuwa wanahitaji vifaa vya kzi na madawa hospitalini, sasa kama hivyo hakuna hata wakirudi kazi watafanyaje?huoni kama watu wataendelea kufa tu?
 
Kawaabie mashekh watatue suala la mgomo kwani maaskofu na mapadri tumewasikia. Influence yao ni nini kwenye issues za maana kama hili zaidi ya kulilia posho ya serikali wanaposhughulikia ndoa?
 
Dr. Martin Shayo ni Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa hospitali ya KCMC. Ulitegemea angetangaza mgomo?
 
Ritz,

Acha uzumbukuku au kuwa Zuzu. Dr.Shao anahangaikia hospital ya KCMC ya kanisa Madaktari warudi ili afanyie biashara period, Nani kakuambia ana huruma na wagonjwa . Ile hospital ya good Samaritan ilikuwa miaka ya sabini Kabla Nyerere hajaichukua ikadidimia mpaka ikafanywa uchafu. Sasa hivi ni Chuo Kikuu cha Tiba sawa na Mhumbili chini ya Kanisa inafufuliliwa kwa kasi huku CCM wanaifanya Lugalo military hospital kuwa ya Ruffaa how come?

We need a Regulator for Universities , Schools,Hospitals halafu tukuasanye kodi acheni Uzuzu.
 
kwani msitu umekatwa miti? wakamateni mkawafanyie ya Dr. Uli maana kiwango chenu cha kufikiri kimefika ukomo kiasi cha kudhani (kipuuzi) kuwa kutesa na kuuwa ndiyo suluhu ya kushindwa kwa serikasli yenu.

Waungwana wengi tulijarajia kwamba Padri Mapunda angetumia mimbari ya dini yaani jukwaa la Altare kuwasihi madakatari wawahurumie wagonjwa na kutafakari athari za mgomo kwa raia wema wanaohitaji huduma yao na ambao hawahusiki na makosa ya mwajiri wao... Lakini kinyume chake Padri akiwa altareni anatamka bila woga kwamba anaunga mkono mgomo wa madaktari, na pia anaiambia Serikali ijiandae kuondoka madarakani.
 
Dr. Martin Shayo ni Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa hospitali ya KCMC. Ulitegemea angetangaza mgomo?

Mungi,

Dr Martin Shao anasema madaktari wanapaswa kuzingatia wito wao kwa maana ya maisha kwanza, huku maslahi yao yatatuliwe kwa njia ya mazungumzo sio mgomo.
 
Acha kuweweseka, changia Dr.Slaa atinge Ikulu 2015 ili haya mambo yapungue na then kuwa historia kabisa, pofu hili ungelitumia kumuomba J.Kikwete awe na huruma na wale anaowapeleka Mabwepande kuwa-ulimboka.
 
We una akili ya maiti'
slaa anahusikaje kwenye mgomo?
Acha kuwa na akili ya maiti! Unataka kutuaminisha kwamba slaa anahusika?. Wewe ni mwehu?

Kwani hujasikia kauli ya Slaa kuhusu mgogoro wa madaktari kuna thread humu JF itafute.
 
Kurudi kwa madaktari kazini bila ya maelewano ya kweli na muajiri wake ni kazi bure. Sikuzote mtu hafanyikazi kwa lazima, ukimlazimisha akafanya kazi kwa woga, basi hiyo kazi haitakuwa naufanisi. Utapata mgomo baridi ambao ni mbaya zaidi. Angalia sekta nyingine kama Ualimu, Kilimo,Maji, Mahakama n.k hawagomi moja kwa moja huduma zake zikoje!
 
Back
Top Bottom