Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,643
- 218,099
Nafahamu kwamba baada ya kuingia ofisini bila shaka unayo mipango mingi sana ya kukipeleka chama mbele zaidi, hilo wala sina shida nalo hata chembe, bali nakuomba kwenye ratiba yako ya mwezi January upange kutembelea chama chako kwenye maeneo niliyoyaainisha hapo juu.
Ukifika Kyela tutajitahidi kukupeleka kata zote na baada ya ziara hiyo nitakueleza sababu za mimi kukutaka utembelee maeneo hayo.
Natanguliza shukrani.
Picha hii haihusiani na uzi huu bali nimeiweka kwa lengo la kuwakumbuka raia wasio na hatia waliouawa tarehe kama ya leo huko Arusha.
Ukifika Kyela tutajitahidi kukupeleka kata zote na baada ya ziara hiyo nitakueleza sababu za mimi kukutaka utembelee maeneo hayo.
Natanguliza shukrani.
Picha hii haihusiani na uzi huu bali nimeiweka kwa lengo la kuwakumbuka raia wasio na hatia waliouawa tarehe kama ya leo huko Arusha.