MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 562
- 319
Nakukumbusha Raisi wangu John Pombe Magufuli, ulipokuja Kahama ulituahidi barabara za Rami kilomita 10, ila Mpaka muda huu naona kilometre 2 tu za TANROAD zimejengwa.
Mkuu, kumbuka Kahama ni potentials area, hivyo itakuwa vema miundombinu itengenezwe vizuri.
Pia nakukumbusha Mheshimiwa Raisi ulituahidi Hospitali ya Ghorofa ambayo itapewa hadhi ya Rufaa, tunakukumbusha.
Tunakukumbusha barabara ya lami kutoka Kahama mpaka Mwanza
Kumbuka Raisi, ishu za Mkoa kwetu siyo tija,ila tukumbuke MUNICIPAL.
Wewe ni shahidi kwa namna KAHAMA ilivyokua kwa speed na ongezeko kubwa la watu,
Naendelea kukumbusha Ndugu Raisi,
Stand kuu ya mabasi Kahama haifai kulingana na hadhi ya Mji........
NAKUKUMBUSHA NA NITAENDELELEA KUKUMBUSHA NDUGU.
Mkuu, kumbuka Kahama ni potentials area, hivyo itakuwa vema miundombinu itengenezwe vizuri.
Pia nakukumbusha Mheshimiwa Raisi ulituahidi Hospitali ya Ghorofa ambayo itapewa hadhi ya Rufaa, tunakukumbusha.
Tunakukumbusha barabara ya lami kutoka Kahama mpaka Mwanza
Kumbuka Raisi, ishu za Mkoa kwetu siyo tija,ila tukumbuke MUNICIPAL.
Wewe ni shahidi kwa namna KAHAMA ilivyokua kwa speed na ongezeko kubwa la watu,
Naendelea kukumbusha Ndugu Raisi,
Stand kuu ya mabasi Kahama haifai kulingana na hadhi ya Mji........
NAKUKUMBUSHA NA NITAENDELELEA KUKUMBUSHA NDUGU.