Tunakujengea Nyumba hii Kwa Tshs. 28.10 Millions Ndani siku 50 tuu ==+255 657 685 268

Drimhomz

Senior Member
Nov 30, 2016
120
80
Tunakujengea Nyumba hii
*** Kwa Tshs. 28.10 Millions
*** Ndani siku 50

+255 657 685 268

Specifications:

Msingi = 4.50M
Kuta = 4.43M
Paa = 3.15M
Milango na Madirisha = 3.49M
Bomba na Mashimo = 4.20M
Umeme = 2.18M
Finishing = 6.15M

Kiwanja angalau = 225 SQM

Sebure,
Dining-jiko-mini stoo,
Chumba Master,
Vyumba 2 vya kawaida,
Choo-bafu ndani,
Veranda ya sebure na jiko

+255 657 685 268
Untitled351321.jpeg
 
Siku 50, mkiwa mmezingatia viwango gani vya ubora??? I mean ratio ya saruji, zege peke yake mpaka likomae Siku 21, ukuta wenyewe ni kizuri ukae siku angalau 30, baada ya kukamilika ili kubebeshwa mzigo. naomba elimu zaidi hapo.
na kwenye spec, angalau ungeweka milango mingapi madirisha mangapi ya aina gani
ahsante
 
quality ya material hujaweka mfano bati,mbao,milango,ratios za cement,foundation n.k usije ukatujengea box, vp guarantee?
 
Back
Top Bottom