billykelly
Member
- Mar 30, 2012
- 8
- 1
Tunakopesha pesa kuanzia 50,000 mpaka milioni 2. masharti lazima uwe na dhamana. ili kuweza kujua tunapatikana wapi na dhamana gani tunazochukua wasiliana nasi kwa namba 0716 632593 / 0718 585858 na 0782 383838
Nataka 2,000,000/= kwa miezi minne. dhamana ninazo -gari au nyumba -zipo Dar. Riba kiasi gani mkuu?????Tunakopesha pesa kuanzia 50,000 mpaka milioni 2. masharti lazima uwe na dhamana. ili kuweza kujua tunapatikana wapi na dhamana gani tunazochukua wasiliana nasi kwa namba 0716 632593 / 0718 585858 na 0782 383838
Riba ni asilimia 20% kwa yeyote anaehitaji zaidi ya milioni 2 anaweza kupata, tunapatikana mtaa wa jamhuri kwa mawasiliano tumia namba zetu hapo juu.Nataka 2,000,000/= kwa miezi minne. dhamana ninazo -gari au nyumba -zipo Dar. Riba kiasi gani mkuu?????
mbona hamueleweki? kuweni wawazi jamani,,tunahitaji hiyo kitu