Tunakoelekea sasa kunatisha...Ndoa za kulazimisha hizi mmh!

nijibuni jamani hivi kuna nini soo special kwenye kuolewa?

Sana sana security! Huenda huyo binti hakuwa na maisha kabisa na huyo mwanaume kamuahidi maisha mazuri atakapomuoa...things like that. Kwa hiyo ule uhakika wa kula, kuvaa na mahal pa kuishi, huenda ndivyo vilivyochanganya bibie. Kwa kujibu swali lako kuolewa ni uhakika wa maisha kwa ujumla. Japokuwa wakati mwiningine uhakika huo unakuwa wa muda, jambo ambalo msichana huyo hakulifikiria.
 
I can sense a lot of bitterness in you, l can say the same way about men unajua.

Twende polepole, aliyetoa mimba, aliyetupa mtoto n.k yuko wapi mwanamume ambaye wakati anataka kula tunda alimsifia na kumuassure kuwa she is the best thing that happened to him?

Sisupport hata kidogo uuaji aliofanya huyo mdada lakini kabla ya hapo nikifuata thinking yako aliyempa mimba in the first place yuko wapi? Si muuaji; imagine unaleta kiumbe duniani halafu unakitelekeza na kuenda kumwaga mbegu zingine kwa wadada wengine.

Please tuseme tu ubinadamu una mapungufu lakini si wanawake tu ndio wenye shida!

wanawake wamezidi jamani sasa kama hapo ameweza kumnyonga mwanaye ambaye alimbeba
miezi tisa tumboni ije kuwa ww umejichanganya atakuacha kweli ?
Hapo kumbuka kwamba ameambiwa tu kwamba ataolewa hakuna uhakika na kam huyo
mwanaume atamuoa hana bahati siku atawekewa hata sumu afe hasa pale atakapomkosea huyo
dada halafu dada aone kwamba ni kwanini alimuua mwanae kwa ajili ya mtu wa aina hii
 
Back
Top Bottom