KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Hivi majuzi aliyekuwa makamu wa rais wa Uganda Prof Gilbert Bukenya alifutiwa dhamana yake nakuswekwa rumande katika gereza kuu la Luzira.
Baada yakujivua nyazifa zao jana leo hii mwanasheria na mwanasiasa maarufu swaiba wa Yoweri Museveni Sam Kutesa mbunge na waziri wa mambo ya nchi za nje tangu 2005 amepandishwa kizimbani kwenye mahakama ya makosa yanayohusiana na rushwa akiwa na waziri wa nchi wa kazi Mwesigwa Rukutane na Eng John Nasasira Kiongozi wa shughuri za serikali bungeni (Goverment chief whip)
Wote wanatuhumiwa kwa ufisadi matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali hasara ya UShs 14 millioni wakati wa kipindi cha mkutano wa Jumuhia ya Madola uliofanyika mwaka 2007 Kampala kwa kile kinachojulikana kama kashfa ya CHOGM
Wanajamvi somo gani tunalipata toka kwa majirani zetu?
Baada yakujivua nyazifa zao jana leo hii mwanasheria na mwanasiasa maarufu swaiba wa Yoweri Museveni Sam Kutesa mbunge na waziri wa mambo ya nchi za nje tangu 2005 amepandishwa kizimbani kwenye mahakama ya makosa yanayohusiana na rushwa akiwa na waziri wa nchi wa kazi Mwesigwa Rukutane na Eng John Nasasira Kiongozi wa shughuri za serikali bungeni (Goverment chief whip)
Wote wanatuhumiwa kwa ufisadi matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali hasara ya UShs 14 millioni wakati wa kipindi cha mkutano wa Jumuhia ya Madola uliofanyika mwaka 2007 Kampala kwa kile kinachojulikana kama kashfa ya CHOGM
Wanajamvi somo gani tunalipata toka kwa majirani zetu?