Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Nimeona picha ambayo January Makamba (MB,Bumbuli) alisambaza katika mitandao ya kijamii kama facebook page yake ikiwa na kichwa cha habari; "weekend work at Bumbuli Development Corporation in Dar"
View attachment 55334
Picha ambayo baadhi walipongeza na hata kufananisha na picha nyingine ya Barrack Obama hii;
View attachment 55335
Wakasahau kuna utofauti mkubwa sana kati ya picha hizo mbili hapo juu hata na watu wenyewe!
Bado Taifa letu lina kazi kubwa sana kwa kuwa na vijana wanasiasa hawa ambao wanaiga iga hadi mikao ya picha na kuisambaza mitandaoni toka kwa wanasiasa wa mataifani bila kuiga masuala mazuri ya kiutendaji. Mwalimu Nyerere alipata kunena; nilitenda mazuri na mabaya. Ujinga mnayaiga yale mabaya na kuacha mazuri!
View attachment 55334
Picha ambayo baadhi walipongeza na hata kufananisha na picha nyingine ya Barrack Obama hii;
View attachment 55335
Wakasahau kuna utofauti mkubwa sana kati ya picha hizo mbili hapo juu hata na watu wenyewe!
Bado Taifa letu lina kazi kubwa sana kwa kuwa na vijana wanasiasa hawa ambao wanaiga iga hadi mikao ya picha na kuisambaza mitandaoni toka kwa wanasiasa wa mataifani bila kuiga masuala mazuri ya kiutendaji. Mwalimu Nyerere alipata kunena; nilitenda mazuri na mabaya. Ujinga mnayaiga yale mabaya na kuacha mazuri!