MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,486
- 8,706
Mtoto wa Major 1 alie fariki wiki hii Nairobi nchini Kenya aliko kuwa akitibiwa kwa muda mrefu, ameugua muda kitambo na hadi kupelekwa Kenya kwa matibabu.
Ninacho jiuliza kila siku Nabii huwa anaombea Maelfu kwa Maelfu ya Watu hasa Wagonjwa, kuna wanao safiri kumfuata na wengine online pia.
Nabii ilishindikana kumuombea mtoto wake hadi kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu?
Some time kuna Ujumbe Mungu anatuma kwa wafuasi wa hawa Manabii.
By the way RIP Mtoto Israela.
Ninacho jiuliza kila siku Nabii huwa anaombea Maelfu kwa Maelfu ya Watu hasa Wagonjwa, kuna wanao safiri kumfuata na wengine online pia.
Nabii ilishindikana kumuombea mtoto wake hadi kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu?
Some time kuna Ujumbe Mungu anatuma kwa wafuasi wa hawa Manabii.
By the way RIP Mtoto Israela.