marshal
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 353
- 157
Kulingana na mwenendo wa matokeo ya kura za uachaguzi wa majimboni na ya uraisi,kuna kila namna ya sababu kulaumu juu ya ucheleweshwaji wa makusudi wa matokeo ya majumusiho majimboni.ukweli ni kuwa sehemu zote ambazo ccm wamefanya vizuri hakuna kisingizio cha jiografia ama wingi wa vituo.hii inaleta hamaki kwa wananchi hasa kwa kuwa ukweli matokeo ya vituo wanayo kwa hiyo wanahitaji kusikia matokeo. Siasa za kulazimishana na kuchaguliana watawala hazina nafasi,nashangaa kwa nini watu hawawezi kutambua kuwa hakuna aliezaliwa kumwongoza mtu fulani,tuwacheni kusababisha vurugu kwa sababu za kutaka kubadili matokeo!!