DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,212
- 4,517
Salaam wana JF,
Mimi ni mmoja kati ya vijana wapatao 17 wanaohudhuria mkutano wa vijana hapa kwenye ukumbi wa mkutano wa Twaweza-kinondoni.
Huu mkutano ni wa maandalizi wa mkutano mkubwa wa kimataifa utakaofanyika hapa Tanzania soon kuhusiana na violance miongoni mwa vijana na umeandaliwa na shirika linalojulikana kama Open Society. Kwa karibu sana nimekuja kuhundua kwamba mjadala unawatetea ushoga na usenge kama minorities na wanaiandaa jamii kisaikologia kuukubali kwa unyenyekevi sanaili kusiwepo na upingwaji wa vitendo hivi.
Ninaamini kwamba hawa jamaa lengo lao kubwamni hilo.
Nitawajuza,kadiri muda unabyokeenda!
Mimi ni mmoja kati ya vijana wapatao 17 wanaohudhuria mkutano wa vijana hapa kwenye ukumbi wa mkutano wa Twaweza-kinondoni.
Huu mkutano ni wa maandalizi wa mkutano mkubwa wa kimataifa utakaofanyika hapa Tanzania soon kuhusiana na violance miongoni mwa vijana na umeandaliwa na shirika linalojulikana kama Open Society. Kwa karibu sana nimekuja kuhundua kwamba mjadala unawatetea ushoga na usenge kama minorities na wanaiandaa jamii kisaikologia kuukubali kwa unyenyekevi sanaili kusiwepo na upingwaji wa vitendo hivi.
Ninaamini kwamba hawa jamaa lengo lao kubwamni hilo.
Nitawajuza,kadiri muda unabyokeenda!