Tunaiomba serikali ituangalie kwa jicho la huruma sisi walimu wa masomo ya Sanaa

mumak

JF-Expert Member
Oct 24, 2013
1,069
661
Naomba nitoe ombi langu la dhati kwa muheshimiwa raisi,

Sisi walimu tuliosomea masomo ya arts tupo mtaani tunahangaika, tunadhalilika, kwakukosa ajira, katika hali halisi asilimia kubwa tuliosoma ualimu ni watoto wa masikini nafikili mheshimiwa raisi utakua unafahamu kwakua umeshapitia kada hiyo.

Kwahyo tunaomba sana utufikilie nasi angalau tuone tija kwa hiki tulichokisomea kwani tumepoteza uelekeo na haiba imeanza kupotea kabisa, tunatambua kuna idadi kubwa ya walimu wanaostaafu, wanaofaliki, wanaoacha ingawa kwa kiasi kidogo hivyo tunaomba serikali yako itufikilie ili kupunguza wimbi la vijana wasomi wanaoangaika mtaani, tuomba sana serikali itufikilie nasi.

Tunajua serikali inamambo mengi lakini idadi ya walimu wa arts iliyokua mtaani kwa awamu zote tatu sizan kama wanafika elf 60 kuanzianzi primary hadi sekondari,hivyo serikali inaweza kuwachukua wote kwa awamu moja au mbili ili kutupunguzia machungu ya maisha tunayopitia,
 
pambana na hali yako , kama uliweza kupata ada ya kusoma ualimu kwanini uctafute hela ya mtaji wa biashara kama ulivyopata yakudoma ualimu huo zama zmebadilika ukimaliza chuo tafuta fursa za kujili ,ukisubria kuajiliwa serikarini ni ndoto ya mchana kwasababu hukufunga mkataba na serikali kwamba ukimaliza chuo ndoo itakuajili
 
Tena naiomba serikali isiwaajili nyie waalimu wa viswahili mmeshakuwa wengi sana hadi kero
Sikulaumu kwani hizo ndizo faida za kukimbia shule kwenda ktk vigodoro mavuno yake ndo mawazo kama haya raiti ungekwenda shule usingeongea pumba,kwanza tambua ualimu,udaktari,hii ni kada ambayo haitakiwi kukaa mtaani kwa muda mrefu kutokana na haiba ya kazi zao,unapokaa mtaani mda mrefu baadae ukaudumie jamii razima kuna ethics zitakua ushapoteza.naomba niishie hapo .ila tammbua asiye na elimu hawezi tambua changamoto za elimu kwahyo hata mawzo yake yanakua sio ya kisomi,hutawaliwa tu na wivu,mijungu,pumba, n.k.
 
NDIYO MUWE NA ADABU, MLIKUWA MNAWACHEKA SANA WENZENU WANAOBANANA KWENYE USAILI

SASA NYIE HATA NAFAS YA USAILI HAKUNA.

PAMBANEN NA HALI ZENU, MTUCHAGUE TENA NA HATUWAAJIRI NG'OO

NB: WATAALAMU WA HR WANASEMA, HAWAAJIRI MTU KWA HURUMA, ILA KWA KUZINGATIA WELEDI
 
Sikulaumu kwani hizo ndizo faida za kukimbia shule kwenda ktk vigodoro mavuno yake ndo mawazo kama haya raiti ungekwenda shule usingeongea pumba,kwanza tambua ualimu,udaktari,hii ni kada ambayo haitakiwi kukaa mtaani kwa muda mrefu kutokana na haiba ya kazi zao,unapokaa mtaani mda mrefu baadae ukaudumie jamii razima kuna ethics zitakua ushapoteza.naomba niishie hapo .ila tammbua asiye na elimu hawezi tambua changamoto za elimu kwahyo hata mawzo yake yanakua sio ya kisomi,hutawaliwa tu na wivu,mijungu,pumba, n.k.
Mkuu watu ww jf wana roho mbaya sana yani wanakera sana hum ukipost kitu tegemea kuna mtusi na matumain so we usijali ipo siku
 
duuu ila me nkiangalia shule za serikali walimu wa sanaa ni wengi kuna kaka mmoja huu mwezi wapili aliamishwa kituo hana darasa la kufundisha maana walimu ni wengi, anyway kila raheri
 
Back
Top Bottom