Tunaingia 2021 tukiwa tumebaki na vyama viwili vya upinzani wa kweli Chadema na Chauma!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,560
Na huo ndio ukweli mchungu.

Pamoja na tofauti za kiitikadi bado naiona Chadema ikiwa imara hata kama ina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa.

Kimsingi mbunge mmoja wa kuchaguliwa ni bora kuliko wabunge 100 waliopita bila kupingwa, na hii ni kanuni ya kiisrael kwamba kiongozi mmoja wa kuchaguliwa ni bora kuliko viongozi 100 waliojichagua wenyewe.

Kwa mapito inayopitia Chadema na ukweli kwamba bado " inadunda" ni ishara tosha kuwa wana spirit ya mabadiliko hata kama wakati bado haujafika.

Kadhalika mzee Hashim Rungwe hakuonyesha kuyumbishwa na CCM pamoja na udogo wa chama chake cha Chauma.
Huyu kweli ni Muha wa Kigoma tofauti na yule Zitto Kabwe wa ACT wazalendo au Kafulila wa CCM ambao ni bendera fuata upepo.

Nawatakia wanaJF wote Heri ya Mwaka mpya 2021.

Maendeleo hayana vyama!
 
Chadema iko midomoni tu lakini huku field wenyewe wanajijua hamnaga kitu
Mkuu kwa nini unanitafuta dhambi isio ya lazima kuelekea mwaka mpya,ya uhongo ! Nikutakie mwaka mpya na wakati huo nikutahalifu kuwa ccm mpaka mda mda huu imekufa vibaya Mno,inaonekana kwa sababu tu ipo madarakani,
Tegemea from 2021 on ward wabunge wa ccm 95 percent watakua wanaenda majimboni kwa kinyata, au wasikanyage pia maana hawapendwi na hawana mvuto
 
Kinachoibeba chadema ni kitu kimoja tu, ukiisoma historia ya vyama vingi tangu 1992 mpaka sasa, Chama tawala (CCM) kimekuwa kikitumia kila mbinu kukidhoofisha chama cha upinzani chenye nguvu kwa wakati huo huku ikikiacha chama fulani cha upinzani kilicho hafifu kikue kwa kasi sana hatimaye kinakuwa chama kikuu cha upinzani.
Sasa, ukijaribu kutafakari hatua zilizochukuliwa na serikali ya awamu ya Tano ni hatua za kukataa chama tofauti na chadema kisikue. na hiyo ndiyo inaipa nguvu chadema ya kuendelea kuwa chama imara cha upinzani kisichokuwa na mbadala wake.
 
Kwa mapito inayopitia Chadema na ukweli kwamba bado " inadunda" ni ishara tosha kuwa wana spirit ya mabadiliko hata kama wakati bado haujafika.



Maendeleo hayana vyama!
Hivi, 2015 kama mgombea wao angeshinda, wangekuja na mabadiliko gani kwa mfano!
 
Kinachoibeba chadema ni kitu kimoja tu, ukiisoma historia ya vyama vingi tangu 1992 mpaka sasa, Chama tawala (CCM) kimekuwa kikitumia kila mbinu kukidhoofisha chama cha upinzani chenye nguvu kwa wakati huo huku ikikiacha chama fulani cha upinzani kilicho hafifu kikue kwa kasi sana hatimaye kinakuwa chama kikuu cha upinzani.
Sasa, ukijaribu kutafakari hatua zilizochukuliwa na serikali ya awamu ya Tano ni hatua za kukataa chama tofauti na chadema kisikue. na hiyo ndiyo inaipa nguvu chadema ya kuendelea kuwa chama imara cha upinzani kisichokuwa na mbadala wake.
A fair comment, at least.
 
Na huo ndio ukweli mchungu.

Pamoja na tofauti za kiitikadi bado naiona Chadema ikiwa imara hata kama ina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa.

Kimsingi mbunge mmoja wa kuchaguliwa ni bora kuliko wabunge 100 waliopita bila kupingwa, na hii ni kanuni ya kiisrael kwamba kiongozi mmoja wa kuchaguliwa ni bora kuliko viongozi 100 waliojichagua wenyewe.

Kwa mapito inayopitia Chadema na ukweli kwamba bado " inadunda" ni ishara tosha kuwa wana spirit ya mabadiliko hata kama wakati bado haujafika.

Kadhalika mzee Hashim Rungwe hakuonyesha kuyumbishwa na CCM pamoja na udogo wa chama chake cha Chauma.
Huyu kweli ni Muha wa Kigoma tofauti na yule Zitto Kabwe wa ACT wazalendo au Kafulila wa CCM ambao ni bendera fuata upepo.

Nawatakia wanaJF wote Heri ya Mwaka mpya 2021.

Maendeleo hayana vyama!
Umepatwa na nini kuisifia chadema leo?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom