Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
cjakataa kua ccm kina udini na ukabila nimesema uozo ulokuwepo ccm ndo ulokuwepo chadema halafu me nnashangaa kumkomalia jk kua serikali yake kuna ufisadi wakati mkapa pia kulifanyika ufisadi kibao rada,ndege ya rais vyote vilikua kipindi chake lakini kikwete mnaongea mpaka mishipa ya shingo inawatoka
Mkuu chitanda.nyoka unaitetea CCM au unamtetea mtu?
Last edited by a moderator: