Tunaibiwaaaaaa! Jamani wateja wa Vodacom someni hapa!

Baada ya hili tangazo wamesitisha kwa muda kuwaibia tangu jana jioni.

Wanasubiri msahau kama kawaida yenu.
 
Kwa taarifa yenu humu humu ndani ya Jf wengine ni wafanyakazi wa huo mtandao na bila shaka tayari watakuwa wameshawapelekea hii skendo. Kwahiyo sasa hivi hawawezi kuiba tena watasubiri mpaka isahaulike si mnajua tena waTZ kwa kusahau?
 
Nadhani kma ukifanya uchunguzi unaweza kukuta unachajiwa kwa kuuliza salio sio kupungua automatic. Voda M-PESA wanachaji kwa kuuliza salio, isijekuwa hata kwenye huduma za sim ya kawaida voda ukiuliza ssalio wanachaji
 
hahaha, anaona hiyo ni mchezo. Imagine kwa mwaka mahela yote yale. Kesho wanaanza kuleta mbwembwe wanatoa misaada kumbe ni hela zetu. Hata Mitandao yote ni wezi kasoro Zantel. Angalia hii ya sms 100 toka Airtel wizi mtupu.
 
Hii ni kweli. Vodacom ni wezi. Nina ndugu yangu mmoja hadi alitia huruma. Ameingiza sh 2,000/= kwenye modemu yake ili anunue internet bundle ya 2,000/=. Ghafla anaambiwa hana salio la kutosha. Anawapigia kastama sevisi wanasema ili wamsaidie aseme kwanza alikuwa na sh ngapi kabla hajaongezea na sasa zimebaki ngapi. Yaani eti yeye ndiye aseme wamekata sh ngapi. Akasema yeye ameongeza 2,000/= sasa anashangaa ziko chini ya hapo na wala hajatumia kwa lolote na hajawa na deni la kukatwa. Baada ya kufuatilia siku nzima wanamwuliza anakaa mji gani. Hatmaye wakasema ni kweli hela zake elf 2,000/= zimekatwa. Lakini haijulikani zimekatwa kwenda wapi na kwa ajili ya nini.

Nimesikia watu wengi wanalalalmika na wizi mbali mbali wa kampuni ya vodacom.

WATUMIAJI WA VODACOM, ANGALIENI SANA SALIO KATIKA SIMU ZENU, ANGALIENI HIZO CHEKA SERVICES VILE ZINAVYOFUTWA WAKATI HATA MUDA WALIOTANGAZA HAUJAFIKA, AJABU ZINAKULA NA SALIO LAKO, ANGALIENI WAHUDUMU WENGI WA CUSTOMER CARE YA VODACOM WALIVYOKUWA NA UELEWA MDOGO. WAKIBANWA WANASEME "NI SISTEM,SIYO SISI. KAMPUNI YETU INAHESHIMIKA, USILAUMU HUDUMA ZETU KWA MAKOSA YA SISTEM". HATA UKIREPORT, WATAKUAMBIA SUALA LAKO LINSHUGHULIKIWA. BAADA YA SIKU KADHAA WATAKUAMBIA SUALA LAKO LIMESHUGHULIKIWA". HUAMBIWI LIMESHUGHULIKIWAJE. HELA ULIZOIBIWA ZIMERUSHWA AU KWA KUWA NI SISTEM BASI IMEKULA KWAKO.

UKIWAAMBIA NIRUDISHIENI SASA HELA ZANGU MLIZOKATA KWA SYSTEM YENU, WANASEMA, HUWA HAZIRUDISHWI!. NI SYSYTEM!.


KWELI HII SYSTEM YA VODACOM NI YA MAJAMBAZI. WAHUDUMU NAO HAWANA KNOWLEDGE!. WANASEMA NI SYSTEM!, WHAT IS A SYSTEM BY THE WAY?


MIMI NAFIKIRI NI WAKATI MUAFAKA WA KUACHANA NA HUDUMA ZA KI WIZI HIZI ZA VODACOM TANZANIA. MAKAMPUNI YAKO MENGI. VODACOM WAMEKOSA AIBU. WANALIPISHA GHARAMA KUBWA KULIKO KAMPUNI YOYOTE YA SIMU TANZANIA KWA SASA, LAKINI TENA NDIYO WANAONGOZA KWA KUIBA KWA KISINGIZIO CHA SISTEM. SANA SANA WATATAKA WAJUE MTU UNAONGELEA WAPI ILI WAJUE KAMA UNAUWEZO WA KUWACHUKULIA HATUA AMA NI WA KIJIJINI AMBAYE HUNA NAMNA ZAIDI YA KUSEMA "NDIYO MAISHA YETU WATANZANIA:
:

NI KWELI VODACOM NI WASUMBUFU SANA. MIMI PIA NIMESHUHUDIA MENGI SANA. KAMA WATAKATA SH. 50 KWA SIKU KWA MTEJA.WATEJA MILLION 5 KWA SIKU WATAKUWA WAMETENGENEZA 250,000,000/=ZA WIZI!.

MWE MACHO HAAMBIWI ONA!
 
Ok, tujadili kwa mapana kama Great thinkers,
inawezekana unavyouliza salio ndo wanakata charge,
but inawezekana na wafanyakaz binafs ndo wezi instead of blaming management. Labda suala liwe mtu anaporeport hatua gani zinachukuliwa then?
 
Mitandao ya simu wamezidi wezi, hasa hzi shinda gari, nyumba, millions ni wizi mtupu. Msijaribu kucheza.
 
kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia na kuchunguza kinachoendelea katika mitandao mbalimbali ya simu hapa nchini. Leo naona ni siku mwafaka kuweka bayana jinsi vodacom inavyoibia wateja wake kama ifuatavyo: Leo asubuhi saa 10:48 salio langu lilikuwa shs.278.21 - saa 11:33 ni shs.278.17 - saa 12:29 ni shs.278.15 na saa 12:43 ni shs.278.13. Yaani salio linajipunguza lenyewe automatically bila ya kuitumia simu yako kwa rate ya shs.0.08 kila baada ya masaa mawili. Ndani ya masaa 24, tayari nakuwa nimeibiwa na vodacom toka kwenye salio langu kiasi cha shs.0.96. Hivyo basi ukichukulia kwa uchache tu, kiasi cha wateja milioni mbili wa vodacom ni kwamba tunaibiwa jumla ya shs.1,920,000/= ndani ya siku moja tu! Ukichukulia kwa mwaka mzima, wateja hao hao milioni mbili tunaibiwa jumla ya shs.702,720,000/=. To prove this; hakikisha salio lako kwenye laini yako ya vodacom, kisha usipige simu wala kutuma sms ila angalia salio kila baada ya masaa mawili utaona kinachoendelea. Wanasheria tuungane kuwafikisha kortini vodacom kwa wizi huu! Mitandao mingine (airtel, tigo, zantel) hainyonyi wateja wake kwa mtindo wa aina hii!

prepaid nini??
 
Ndugu hao ni voda mi nimejuta kukopa tigo
zamani ukikopa unaambiwa sh 400 unalipa sh 440 baada ya kutumia unatumiwa msg
deni lako ni sh 960 unajiuliza limefika wapi sasa jana nimechoka kabisa nimekopa
840 nikapiga tigo kidogo nikatumia salio lako alitohelezi ongeza duh nikawa hoi
baada ya muda natumiwa msg deni lako la awali ni sh 1320 yaani nilipoingiza 2000
wapendwa nilibakizwa sh 347 tzs nimewapigia tigo wamedai wataangalia yaani
niko hoi najiuliza wanaiba ngapi kwa mwaka
 
Ndugu hao ni voda mi nimejuta kukopa tigozamani ukikopa unaambiwa sh 400 unalipa sh 440 baada ya kutumia unatumiwa msgdeni lako ni sh 960 unajiuliza limefika wapi sasa jana nimechoka kabisa nimekopa840 nikapiga tigo kidogo nikatumia salio lako alitohelezi ongeza duh nikawa hoibaada ya muda natumiwa msg deni lako la awali ni sh 1320 yaani nilipoingiza 2000wapendwa nilibakizwa sh 347 tzs nimewapigia tigo wamedai wataangalia yaaniniko hoi najiuliza wanaiba ngapi kwa mwaka
yaan hizo huduma za kukopa ndio kabisaaaaa.......mi sioni kazi ya customer services kabisaaaaa,haswa kwenye masuala ya refund
 
Ok, tujadili kwa mapana kama Great thinkers,inawezekana unavyouliza salio ndo wanakata charge,but inawezekana na wafanyakaz binafs ndo wezi instead of blaming management. Labda suala liwe mtu anaporeport hatua gani zinachukuliwa then?
hao wafanyakazi binafsi ni wa kampuni ganiiii?????wanatoka kampun jirani au?????kwa nn menejiment ikae pemben kwenye suala hilo??
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia na kuchunguza kinachoendelea katika mitandao mbalimbali ya simu hapa nchini. Leo naona ni siku mwafaka kuweka bayana jinsi Vodacom inavyoibia wateja wake kama ifuatavyo: Leo asubuhi saa 10:48 salio langu lilikuwa shs.278.21 - saa 11:33 ni shs.278.17 - saa 12:29 ni shs.278.15 na saa 12:43 ni shs.278.13. Yaani salio linajipunguza lenyewe automatically bila ya kuitumia simu yako kwa rate ya shs.0.08 kila baada ya masaa mawili. Ndani ya masaa 24, tayari nakuwa nimeibiwa na Vodacom toka kwenye salio langu kiasi cha shs.0.96. Hivyo basi ukichukulia kwa uchache tu, kiasi cha wateja milioni mbili wa Vodacom ni kwamba tunaibiwa jumla ya shs.1,920,000/= ndani ya siku moja tu! Ukichukulia kwa mwaka mzima, wateja hao hao milioni mbili tunaibiwa jumla ya shs.702,720,000/=. To prove this; hakikisha salio lako kwenye laini yako ya Vodacom, kisha usipige simu wala kutuma sms ila angalia salio kila baada ya masaa mawili utaona kinachoendelea. Wanasheria tuungane kuwafikisha kortini Vodacom kwa wizi huu! Mitandao mingine (Airtel, Tigo, Zantel) hainyonyi wateja wake kwa mtindo wa aina hii!

Ukiona hivo ujue wanacharge Tsh 0.08 kukupa balance, kuthibitisha hii, wala usibiri masaa mawali, check balance, afu check tena, afu check tena, afu check tena kwa (usisubiri masaa mawili) utagundua balane yako inapungua kila inapocheck balance, meaning, voda wana charge ya tsh 0.08 kwa kucheck balance
 
Ngoja nifanye mpango wa kuanzisha kampuni ya simu unalipia gharama za uendeshaji tu. All services fixed rates at cost. Kama NGO hakuna faida, sema tu wafanyakazi mishahara yao itakuwa mara mbili zaidi ya kampuni za sasa hivi za simu.

Ngoja JMK arudi Malaysia nikakope mtaji.

Au we J. Makamba upo? Nasikia juzi umelamba US$ 2M. Sasa lete tuwarudishie wa Tanzania wafaidike kwa mawasiliano.
 
may be ukiwasha tochi inatozwa hiyo amount....tumia mijisimu mikali kama blackberry
 
Mimi wizi huo nimeugundua siku nyingi, lakini sio huo tu; wakati mwingine naomba kifurushi cha cheka internet cha shs 500, fedha zinakatwa lakini kifushi upewi! ukijaribu kufuatilia unagonga mwamba.
 
Ukiona hivo ujue wanacharge Tsh 0.08 kukupa balance, kuthibitisha hii, wala usibiri masaa mawali, check balance, afu check tena, afu check tena, afu check tena kwa (usisubiri masaa mawili) utagundua balane yako inapungua kila inapocheck balance, meaning, voda wana charge ya tsh 0.08 kwa kucheck balance
Wizi unafanyika bila kuuliza salio na bila kutumia simu, as I said earlier the balance is reducing automatically every 30minutes by shs.0.02, the only time the deduction ends is when you remove the sim-card out of your phone! Wizi mtupu! Au na wao wame-introduce CAPACITY CHARGES!
 
Back
Top Bottom