MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
Mrs air naomba tuwasiliane kuna mambo kadhaa utueleze tuone tunafanyajeasante mkuu!
Mrs air naomba tuwasiliane kuna mambo kadhaa utueleze tuone tunafanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatufanyi utafiti wowoteMsije mkawa mnataka mfanye utafiti dawa yenu kwa hao watu bila kujua side effect watakayoipata!!
Utawapata tu na kama unakitu unataka utakipata tusiwapati mkuu
Utawapata tu na kama unakitu unataka utakipata tu
-mikononyuma-
Mkuu mm mgonjwa wa pumu siku nying sana yan nshatumia mpaka dawa za kimasai lkn wap...so sasaiv ikinibana nakula tu salbultamol then nakausha........yan nimekuwa mtu wa kuteseka sana...kias kwamba hata kipaji changu cha mpra kimekufa kisa huu ugomjwa wa pumu
Bt anyway wacha nijarb kuwachek
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv kuna tofaut gan kati ya NIMONIA na PUMU..asante! uliza
Acheni zenu. Anunue? Hapana. Mumnunulie. Si mnafanya majaribio?Atanunua dawa pale alipo sisi hatumpi dawa naomba uelewe hivyo,
Pole mkuu. Kuna jamaa ana dawa. Yuko Dom. Alimtibu mchumba wangu na akapona kabisa.Mimi nahitaji dawa ya vidonda vya tumbo
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app