Wana JF
Tunaomba tupate watu 4 tu wenye tatizo la athma ili tuwatibu bure ila vigezo na masharti kuzingatiwa. Lazima uwe serious na uwe na ushahidi wa kuwa na tatizo hilo. Ifahamike kuwa tutakuelekeza ununue dawa hapo ulipo na sisi tutakuelekeza matumizi ya kila siku/ wakati na tutakufuatilia kwa karibu saba. Asiye mgonjwa asituandikie maana hatuna muda wa kupoteza kujibu maswali yake ila anayemuuguza mgonjwa ajiandae kujibu maswali ya historia ya mgonjwa. Mgonjwa awe tayari kujibu sms zetu za kufuatilia ugonjwa wake na kukubali masharti ya dawa.
Kupona ni uhakika kwa majaliwa ya mwenyezi Mungu.
Karibuni.
Tunaomba tupate watu 4 tu wenye tatizo la athma ili tuwatibu bure ila vigezo na masharti kuzingatiwa. Lazima uwe serious na uwe na ushahidi wa kuwa na tatizo hilo. Ifahamike kuwa tutakuelekeza ununue dawa hapo ulipo na sisi tutakuelekeza matumizi ya kila siku/ wakati na tutakufuatilia kwa karibu saba. Asiye mgonjwa asituandikie maana hatuna muda wa kupoteza kujibu maswali yake ila anayemuuguza mgonjwa ajiandae kujibu maswali ya historia ya mgonjwa. Mgonjwa awe tayari kujibu sms zetu za kufuatilia ugonjwa wake na kukubali masharti ya dawa.
Kupona ni uhakika kwa majaliwa ya mwenyezi Mungu.
Karibuni.