Tunahitaji wasichana wa 3 wa kufanta kazi ya mpesa na tgo pesa haraka.

Kay dee investment
po box 45097
temeke
dar es salaam

wanahitajika wasichana watatu wenye umri usiozidi miaka 25 kwa ajili ya kutoa huduma ya mpesa na tigo pesa.
Sifa;
1.awe msichana.
2.awe ana umri usiozidi miaka 25.
3.awe na uzoefu wa kutoa huduma ya mpesa,tigo pesa,air tel money etc
4.awe na uwezo wa kufanya kazi kuanzia saa mbili asubuhi mppaka saa 3 usiku.
5.awe anaishi wilaya ya temeke,jijini dar es salaam
tuma maombi yako kwa;

managing director
kay dee investment
po box 45097
temeke
dar es salaam
simu;
07131090999
0758109099
0788109099

yupo msichana anafanya kazi hiyo..ni mzoefu, ni mchapa kazi sana...mtafute 0759 161747
 
Mmh!, saa ya kazi kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 3 usiku,masaa 13 mtu yupo kazini anaacha masaa 9 tu ya kupumzika na mengineyo,inaonyensha mshahara utakua mnono?
 
hey! kelvo kuna dada mmoja ana sifa zote za kufit hiyo possition na yuko ktk process za kutafuta sehemu nyingine kutokan na mshahara kutokidhi mahitaji em onyesha range ya mshahara kwani yeye . 1]ni mwaminifu 2} ni mchapakazi 3]mbunifu 4]mzoefu 5]yuko ktk wilaya ya temeke.6]anna miaka 22. je ungependa fanya nae kazi?.
 
Kay dee investment
po box 45097
temeke
dar es salaam

wanahitajika wasichana watatu wenye umri usiozidi miaka 25 kwa ajili ya kutoa huduma ya mpesa na tigo pesa.
Sifa;
1.awe msichana.
2.awe ana umri usiozidi miaka 25.
3.awe na uzoefu wa kutoa huduma ya mpesa,tigo pesa,air tel money etc
4.awe na uwezo wa kufanya kazi kuanzia saa mbili asubuhi mppaka saa 3 usiku.
5.awe anaishi wilaya ya temeke,jijini dar es salaam
tuma maombi yako kwa;

managing director
kay dee investment
po box 45097
temeke
dar es salaam
simu;
07131090999
0758109099
0788109099


Hapo kwenye red umetumia sheria za kazi za nchi gani???
weka mshahara na malipo ya hayo masaa 5 yanayozidi
 
kisheria kazi ni masaa 8 tu zaidi ya hapo unamlipa mfanyakazi overtime. hadi saa 3 usiku du!!
 
kay dee investment
po box 45097
temeke
dar es salaam

wanahitajika wasichana watatu wenye umri usiozidi miaka 25 kwa ajili ya kutoa huduma ya mpesa na tigo pesa.
Sifa;
1.awe msichana.
2.awe ana umri usiozidi miaka 25.
3.awe na uzoefu wa kutoa huduma ya mpesa,tigo pesa,air tel money etc
4.awe na uwezo wa kufanya kazi kuanzia saa mbili asubuhi mppaka saa 3 usiku.
5.awe anaishi wilaya ya temeke,jijini dar es salaam
tuma maombi yako kwa;

managing director
kay dee investment
po box 45097
temeke
dar es salaam
simu;
07131090999
0758109099
0788109099

mtafute msichan huyo mwneye uzoefu wa kazi hii ana kaa changombe karibu na maduka mawili
anaitwa esther -simu no. 0654 77 21 43
 
Hv siku hizi watu wanajipangia tu kazi bila ya sheria yoyote kufuatwa?

Eti kuanzia saa 2asubuhi hadi saa3 usiku!

Hebu weka mshahara chap chap kama uko makini na watu unaowahitaji!
 
Back
Top Bottom