Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,414
- 85,840
Baada ya kuibuliwa mambo kadhaa ya kishamba sana yanayofanywa na Askari pale getini ikiwa ni pamoja na kuwazuia Wanafunzi kuingia Chuo kisa hajavaa soksi na mavazi mengine ambapo kulipekea Wanafunzi hao wa kike na WA kiume kupigana na Walinzi hao, Chuo kilitoa statement ambayo ilikua ni Fake na ikiwakana wanafunzi wake. Leo hii tangu asubuhi Kuna kikao chuoni hapo kinaendelea dhidi ya manyanyaso ya Askari hao.
Rai yetu ni kwamba, kwakua RC na Mganilwa (Mkuu wa Chuo) wote ni Wana CCM washurutishwe wasije wakaficha matokeo ya Kikao hiki vinginevyo Kuna siku Wale Walinzi watauliwa na wanafunzi au vice versa na TUTAKOSA Cha kusema.
Alamsiki
Rai yetu ni kwamba, kwakua RC na Mganilwa (Mkuu wa Chuo) wote ni Wana CCM washurutishwe wasije wakaficha matokeo ya Kikao hiki vinginevyo Kuna siku Wale Walinzi watauliwa na wanafunzi au vice versa na TUTAKOSA Cha kusema.
Alamsiki