Tunahitaji sheria mpya ustawi wa jamii kulinda ndoa na familia

Zemanda

JF-Expert Member
Jan 10, 2021
5,707
11,951
Mimi nadhani tuweke sheria maalumu ambayo itakaziwa sana na itasimamiwa vikali na kwa nguvu na serikali.

Ikigundulika mwanamke au mwanaume anasaliti eneo la kazi na ushahidi upo wa kutosha then mume au mke halali wa muhusika akafungue mashitaka katika mahakamani maalumu ya ustawi wa jamii ambayo itaanzishwa kwa mujibu wa sheria na itambulike kama chombo cha ustwi wa jamii.

Kwanza alipwe fidia isiyopungua milioni 5 au zaidi kwa damage aliyosababishiwa kihisia kwa kudhalilishwa halafu kesi isomwe na ushahidi utolewe kisha barua maalumu itolewe mahakamani kusimamisha maramoja mkataba wa kazi kwa masilahi mapana na ustawi wajamii yetu, kulinda ndoa na watoto. Na zaidi iwe kwamba mhusika kama alikuwa ni muajiriwa wa serikali basi ameshajivua nafasi yake na vyeo vyake vyote na hatoruhusiwa kuomba kazi ofisi yoyote ya serikali labda huko kwenye taasisi au mashirika binafsi.

Tukifanya hivi tuweza kwanza kudhibiti viburi vya wanawake ambao wakisha pata tu kazi na kuanza kuona mshahara wa kwanza idea ya kwanza ni kumletea mume wake dharau na kumkosea adabu ikiwamo kuanzisha mahusiano maeneo ya kazi.

Pili itasaidia kudhibiti tabia za Wanaume maeneo ya kazi kusarandia wake za watu, na kuacha majukumu ya kazi. Unakuta unaingia Kwenye ofisi secretary anadharau na viburi kujibu watu hovyo sababu anajua hakuna wa kumfanya lolote maana ana mahusiano na boss wake na anaona ofisi ya uma kama mali ya familia.

Tusiogope kuweka sheria kama hizi zitasaidia sana kupunguza mifarakano kwenye ndoa na kulinda sana familia maana kuna muda mwanaume anaona tu ngoja avumilie upumbavu wa mkewe sababu kapata kazi mpya na hakuna taasisi wala mamlaka ya kumtetea au kumdhibiti mkewe.

Na kuna wanawake wanahangaika wanaume zao wamepandishwa vyeo makazini wanaruka na wafanyakazi wengine hadi wanawaletea magonjwa majumbani sababu ya umalaya.
 
Tukifanya hivi tuweza kwanza kudhibiti viburi vya wanawake ambao wakisha pata tu kazi na kuanza kuona mshahara wa kwanza idea ya kwanza ni kumletea mume wake dharau na kumkosea adabu ikiwamo kuanzisha mahusiano maeneo ya kazi.
Wanawake hawawezi kubadilika tabia na sheria, kuna haja ya ku review azimio la Beijing, halafu viongozi wa dini waanzishe kampeni maalumu ya kuwafundisha maana ya ndoa na wajibu wao kwa waume zao
 
Wazo zuri changamoto utekelezaji, kama tu sheria zilizopo zinashindwa kutekelezeka.
Walinda sheria ndio wavunja sheria.
Ipo sheria ya ugoni
 
Wanawake hawawezi kubadilika tabia na sheria, kuna haja ya ku review azimio la Beijing, halafu viongozi wa dini waanzishe kampeni maalumu ya kuwafundisha maana ya ndoa na wajibu wao kwa waume zao
Viongozi wa dini wanafundisha Sana, lakini utii ni tatizo. Wanaozingatia mafundisho sahihi ya ndoa ni makahaba na michepuko hawa ndio wanajua mwanaume anataka nini na uyatumia mafundisho ya ndoa sababu wake za watu uyaacha mafundisho haya baada ya semina.

Jamii imekosa maadili tutegemee mengi zaidi
 
Viongozi wa dini wanafundisha Sana, lakini utii ni tatizo. Wanaozingatia mafundisho sahihi ya ndoa ni makahaba na michepuko hawa ndio wanajua mwanaume anataka nini na uyatumia mafundisho ya ndoa sababu wake za watu uyaacha mafundisho haya baada ya semina.

Jamii imekosa maadili tutegemee mengi zaidi

Kama mtu ana akili za kizembe hawezi kukuelewa
 
Mimi nadhani tuweke sheria maalumu ambayo itakaziwa sana na itasimamiwa vikali na kwa nguvu na serikali.

Ikigundulika mwanamke au mwanaume anasaliti eneo la kazi na ushahidi upo wa kutosha then mume au mke halali wa muhusika akafungue mashitaka katika mahakamani maalumu ya ustawi wa jamii ambayo itaanzishwa kwa mujibu wa sheria na itambulike kama chombo cha ustwi wa jamii.

Kwanza alipwe fidia isiyopungua milioni 5 au zaidi kwa damage aliyosababishiwa kihisia kwa kudhalilishwa halafu kesi isomwe na ushahidi utolewe kisha barua maalumu itolewe mahakamani kusimamisha maramoja mkataba wa kazi kwa masilahi mapana na ustawi wajamii yetu, kulinda ndoa na watoto. Na zaidi iwe kwamba mhusika kama alikuwa ni muajiriwa wa serikali basi ameshajivua nafasi yake na vyeo vyake vyote na hatoruhusiwa kuomba kazi ofisi yoyote ya serikali labda huko kwenye taasisi au mashirika binafsi.

Tukifanya hivi tuweza kwanza kudhibiti viburi vya wanawake ambao wakisha pata tu kazi na kuanza kuona mshahara wa kwanza idea ya kwanza ni kumletea mume wake dharau na kumkosea adabu ikiwamo kuanzisha mahusiano maeneo ya kazi.

Pili itasaidia kudhibiti tabia za Wanaume maeneo ya kazi kusarandia wake za watu, na kuacha majukumu ya kazi. Unakuta unaingia Kwenye ofisi secretary anadharau na viburi kujibu watu hovyo sababu anajua hakuna wa kumfanya lolote maana ana mahusiano na boss wake na anaona ofisi ya uma kama mali ya familia.

Tusiogope kuweka sheria kama hizi zitasaidia sana kupunguza mifarakano kwenye ndoa na kulinda sana familia maana kuna muda mwanaume anaona tu ngoja avumilie upumbavu wa mkewe sababu kapata kazi mpya na hakuna taasisi wala mamlaka ya kumtetea au kumdhibiti mkewe.

Na kuna wanawake wanahangaika wanaume zao wamepandishwa vyeo makazini wanaruka na wafanyakazi wengine hadi wanawaletea magonjwa majumbani sababu ya umalaya.
well said,,,wewe ni jiniazi,,,mimi nipo ktk harakati za kuhamia AFGHANISTAN chini ya utawala wa TALEBAN[[kiboko ya wazinzi}...wanajua sana kuwabana wanawake!!
 
Kwani nani aliwaambia kupata mshahara wa kwanza ndo kiburi kwa mume?

Tafuta hela bro acha kulia lia na sheria, akianza kiburi na kusaliti ni tabia tu zilikuwa zimejificha, , tangaza talaka muache mtoto wa watu apambane na maisha yake

Ndoa siyo vita!
 
Wahudumu wa ofisi ni watamu sana.
Kutana na Secretary, Office Attendant na wengineo utafaidi sana hata kama ameolewa.
 
Ustawi wa jamii bado hawajapewa uhuru maana ata mahakamani unapofika atua ya kutoa maamuzi kuhusu kesi za watoto mahakama inamzunguka nyuma afisa ustawi kuna changamoto nyingi sana katika hii kazi ila serikali ni kama haioni
 
Kwani nani aliwaambia kupata mshahara wa kwanza ndo kiburi kwa mume?

Tafuta hela bro acha kulia lia na sheria, akianza kiburi na kusaliti ni tabia tu zilikuwa zimejificha, , tangaza talaka muache mtoto wa watu apambane na maisha yake

Ndoa siyo vita!
Nikiacha 30 si tayari huko mtaani kuna single mother 30?! Kimsingi huwezi kutegemea solution ya utomvu wa adabu katika ndoa ni kuachanisha. Atafutwe mkorofi aadabishwe maramoja.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom