Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Bila shaka mh JPM amethubutu katika kushughulikia changamoto za ufisadi japo kuna "lose ends" nyingi!Tunakubaliana wote kuwa siku moja JPM hatakuwa Rais,na hii inaweza tokana na sababu kuu 4:
1.Kutochaguliwa 2020
2.Kukaa kando ya ulingo kikatiba 2025
3.Maradho\kifo(Mungu epushia mbali)
4.Nyinginezo kama kujiuzulu nk
Je,utapenda kuona yale uliyopambana nayo yakirejea???
Utawala huu wa JPM umenifunza kuwa katika nchi yetu,mambo makubwa na nyeti yanategemea maamuzi ya Rais au watu wanavyomtafsiri!Ndio maana pamoja na kashfa zote zilizowahi kutokea huko nyuma ilikuwa ni kama mambo ya kawaida tu!Ilifika kipindi mpaka nchi za watu wanatusaidia kuona kuwa tunaibiwa,refer sakata la radar!Lakini ndio kwanza sisi tulikuwa tunavuta shuka,mpaka wanaturudishia chenji wala hatuna habari!
Kuna guarantee gani kwamba hatutarejea huko?Umechukua hatua gani ili basi hata Rais anapokuwa dhaifu basi nchi hailipi gharama kwa udhaifu wake?Je,kuna mfumo unafikiria kuuweka ili basi hata Rais anaposema "pesa sio za umma" isiwe end of the story???
Au unataka upate credit tu kwa kipindi chako ,the rest tutajijua mbele ya safari?
Nakusihi sana uunde mfumo ambao hautarely sehemu moja katika kuresolve national issues!
1.Kutochaguliwa 2020
2.Kukaa kando ya ulingo kikatiba 2025
3.Maradho\kifo(Mungu epushia mbali)
4.Nyinginezo kama kujiuzulu nk
Je,utapenda kuona yale uliyopambana nayo yakirejea???
Utawala huu wa JPM umenifunza kuwa katika nchi yetu,mambo makubwa na nyeti yanategemea maamuzi ya Rais au watu wanavyomtafsiri!Ndio maana pamoja na kashfa zote zilizowahi kutokea huko nyuma ilikuwa ni kama mambo ya kawaida tu!Ilifika kipindi mpaka nchi za watu wanatusaidia kuona kuwa tunaibiwa,refer sakata la radar!Lakini ndio kwanza sisi tulikuwa tunavuta shuka,mpaka wanaturudishia chenji wala hatuna habari!
Kuna guarantee gani kwamba hatutarejea huko?Umechukua hatua gani ili basi hata Rais anapokuwa dhaifu basi nchi hailipi gharama kwa udhaifu wake?Je,kuna mfumo unafikiria kuuweka ili basi hata Rais anaposema "pesa sio za umma" isiwe end of the story???
Au unataka upate credit tu kwa kipindi chako ,the rest tutajijua mbele ya safari?
Nakusihi sana uunde mfumo ambao hautarely sehemu moja katika kuresolve national issues!