Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 948
- 2,857
TUNAHITAJI MAGUFULI MWINGINE AJE KUSHUGHULIKA NA KILIMO, TANZANIA.
Israel 🇮🇱 pamoja na udogo wake wa km 22,145 km wanaisaidia dunia nzima kwenye kilimo. Wanailisha dunia. Wanashangaa nchi ya Tanzania 🇹🇿 yenye 945,087 km² na yenye ardhi ambayo 49.7% inafaa kwa kilimo na nearly 61,500 km² about 6.5% ni uso wa maji unaofaa kwa uvuvi haina ajira wakati wenyewe Israel wana nchi yenye ukubwa wa 22,145 km² of which 21,671 km² ndio ardhi na about 500 km² ni maji.
17.72 % ya ardhi yao ndio inafaa kwa kilimo. Lakini wao wanailisha dunia sisi hata kujilisha hatuwezi. Tunahitaji Magufuli mwingine aje ashughulike na kilimo.
#MagufuliMwingine.
Israel 🇮🇱 pamoja na udogo wake wa km 22,145 km wanaisaidia dunia nzima kwenye kilimo. Wanailisha dunia. Wanashangaa nchi ya Tanzania 🇹🇿 yenye 945,087 km² na yenye ardhi ambayo 49.7% inafaa kwa kilimo na nearly 61,500 km² about 6.5% ni uso wa maji unaofaa kwa uvuvi haina ajira wakati wenyewe Israel wana nchi yenye ukubwa wa 22,145 km² of which 21,671 km² ndio ardhi na about 500 km² ni maji.
17.72 % ya ardhi yao ndio inafaa kwa kilimo. Lakini wao wanailisha dunia sisi hata kujilisha hatuwezi. Tunahitaji Magufuli mwingine aje ashughulike na kilimo.
#MagufuliMwingine.