Hii ni mara ya pili ndege yetu inakamatwa na yawezekana kuna ka mchezo tunafanyiwa ambako ni ka kutuona tuko "weak" tunahitaji kutuma ujumbe sasa kuwa mataifa tunahitaji kuheshimiana.
Hivi ndege za Afrika Kusini zinazotua Hapa Kwetu hakuna yenye jambo la kuikamata, au kitu chochote chenye thamani na sisi tukamate ili kuweka presha kote kote.
Bila kufanya hivi itakuwa ni kila anayetudai sasa kukimbilia nchi tunakopeleka ndege na kukamata
Hivi ndege za Afrika Kusini zinazotua Hapa Kwetu hakuna yenye jambo la kuikamata, au kitu chochote chenye thamani na sisi tukamate ili kuweka presha kote kote.
Bila kufanya hivi itakuwa ni kila anayetudai sasa kukimbilia nchi tunakopeleka ndege na kukamata