Tunahitaji Hospitali kubwa kuliko Muhimbili Dodoma

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
Serikali inahitaji kufikiria kujenga hospitali ya Taifa mpya kubwa na na ya kiwango cha juu kwa huduma Jijini dodoma na Muhimbili ibakie kuwa zonal hospital.

Sababu ni hizi.

Dodoma ni katikati ya nchi kitu ambacho kitawapunguzia wananchi gharama za kusafiri hadi DSM pale wanapo pewa rufaa kutoka hospitali za kanda .

Eneo la Muhimbili lina msongamano mkubwa sana. Dodoma kwa sasa bado ina nafasi. Serikali inatakiwa itafuta eneo lenye ukubwa zaidi ya eneo cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ajili ya National Hospital ili kukidhi mahitaji ya wagonjwa na wauguzi pamoja.

Hizi ndio sababu kubwa na kuwa na hospitali ya taifa Dodoma.
 
Kuwa na hospitali kubwa kama mnh au zaidi haina maana, chenye maana ni ubora wa hospitali. Mnh eneo sio shida, shida kubwa health system financing na motivation kwa wafanyakazi. Usitegemee mtu anafanyiwa operesheni na timu ya watu kumi,na processing ya operesheni kuanzia vifaa na kila kitu halafu analipa laki tano au chini ya hapo, utegemee tija.

Hospitality tulizonazo zinatosha na ukubwa wake unatsha. Swala ni how do we finance the hospitals and how's do we get maximum from drs
 
..huduma zinatakiwa ziwafuate wananchi huko waliko.

..hii habari ya kutaka wananchi wafuate kila huduma muhimu makao makuu ya nchi imepitwa na wakati.

..Tz ni nchi kubwa sana, hivyo tunatakiwa tuwe na hospitali za rufaa za kanda.
 
Ninya serikali ila ni zonal Referal hospital


Nadhani hamjua hospital zonavyo fanya kazi.

Imagine mtu amepewa rufaa toka Mbeya zonal hospital.. atatakiwa kuja DSM.. lakini tungekua na National hospital dodoma.. gharama hizi zisizo na maana kwa raia zingepotea.
Wengi hawajui kama Benjamin Mkapa ni ya Serikali
 
JK amewasogea huduma zote muhimu lakini bado hamridhiki sijui kwanini nyie wagogo? ukienda vyuo vyote Dodoma wamejaa watu wakuja wagogo wanalima vibarua kutwa.
 
Mtiririko hupo hivi wa rufaa

1. Zahanati
2. Kituo cha afya
3. Hospital ya wilaya
4. Hospital ya rufaa ya mkoa
5. Hospitali ya rufaa ya kanda
6. Hospitali ya Taifa

Namba 6 inadili na rufaa zote ambazo zimeshindikana kwenye hospitali za kanda.
..huduma zinatakiwa ziwafuate wananchi huko waliko.

..hii habari ya kutaka wananchi wafuate kila huduma muhimu makao makuu ya nchi imepitwa na wakati.

..Tz ni nchi kubwa sana, hivyo tunatakiwa tuwe na hospitali za rufaa za kanda.
 
Hujaelewa wazo langu.. ni hivi..

Kwa.sasa hospitali ya taifa ji muhimbili ambayo inatibu rufaa zote toka hospitali za rufaa za kanda.

Sasa kwa location ya DSM bado wananchi wengi wanapata shida kutokana na umbali.


Dodoma ni katikati ya nchi, tujenge hospitali ya Taifa dodoma na Muhimbili ibaki kama hospitali ya kanda.
JK amewasogea huduma zote muhimu lakini bado hamridhiki sijui kwanini nyie wagogo? ukienda vyuo vyote Dodoma wamejaa watu wakuja wagogo wanalima vibarua kutwa.
 
Swala siyo kuwa na mwingi wa hospitali, issue ni kuboresha miundo mbinu ya hospitali za kanda wagonjwa wasiende mbali, mfano telemedicine ikifanya kazi vizuri kuna haja gani ya kutoka KCMC kwenda Muhimbili?
 
Magufuli amekuwa na ahadi hewa zisizotekelezeka.

Aliahidi kutekeleza vitu vifuatavyo jijini Dodoma kabla ya 2020

1. Ujenzi wa hospital ya Uhuru 2017 baada ya kuahirisha sherehe za sikukuu ya uhuru hadi leo bado.

2. Ujenzi wa barabara ya Pete Ring road kuzunguka Dodoma mjini hadi leo bado.

3. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa na Mfalme wa Morocco hadi leo Bila bila.

4.Stend kubwa ya mkoa nk

5. Ujenzi wa soko la kisasa Chang'ombe hadi leo.

Vyote vinasuasua 2020 Imefika miradi yote haijakamilika.
 
Nadhani bado hujaelewa sera ya afya inavyo fanya kazi.

Huwezi kisema zahanati zote ziwe kama muhimbili? Haiwezekani kwa sababu huwezi kuweka zahanati zote vifaa na watalaam waliopo muhimbili.

Hospitali za kanda haziwezi kuzuia watu kupata rufaa ya kwenda muhimbili.

Nakubaliana na wewe kwamba hospital za kanda ziboreshwe lakini lazima tuwe na hospitali ya rufaa ya juu zaidi kwa wagonjwa ambao wameshindikana kwenye kanda.
Swala siyo kuwa na mwingi wa hospitali, issue ni kuboresha miundo mbinu ya hospitali za kanda wagonjwa wasiende mbali, mfano telemedicine ikifanya kazi vizuri kuna haja gani ya kutoka KCMC kwenda Muhimbili?
 
Nchi zote duniani hospital kubwa kuliko zote huwa kwenye mji wenye popolation kubwa, Dodoma bado pagumu kwa madaktari bingwa wengi kuweka kambi.
Jaribu kufuatilia hata nchi za africa, south africa hospital kubwa ipo Johan'esburg, DRC hospital kubwa ipo kinshasa, Uganda hospital kubwa ipo Kampala inaitwa Mlago, Nigeria ipo Lagos sio abuja, Tunisia nk nk.
Zama za sasa sio za kuangalia umbali, Dodoma ikijengwa hospital kubwa na ikawekwa Bango kwamba ndio kubwa Tanzania usidhani ndio wananchi watakimbilia huko, wewe ungesema Benjamini mkapa iongezewe uwezo. Miaka labda 100 ijayo siku Dodoma ikija kucha zaidi kuliko Dar automatically lazima kutakua hospital kubwa Tanzania.
Hujaelewa wazo langu.. ni hivi..

Kwa.sasa hospitali ya taifa ji muhimbili ambayo inatibu rufaa zote toka hospitali za rufaa za kanda.

Sasa kwa location ya DSM bado wananchi wengi wanapata shida kutokana na umbali.


Dodoma ni katikati ya nchi, tujenge hospitali ya Taifa dodoma na Muhimbili ibaki kama hospitali ya kanda.
 
Magufuli amekuwa na ahadi hewa zisizotekelezeka.

Aliahidi kutekeleza vitu vifuatavyo jijini Dodoma kabla ya 2020

1. Ujenzi wa hospital ya Uhuru 2017 baada ya kuahirisha sherehe za sikukuu ya uhuru hadi leo bado.

2. Ujenzi wa barabara ya Pete Ring road kuzunguka Dododma mjini hadi leo bado.

3. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa na Mfalme wa Morocco hadi leo Bila bila.

4.stend kubwa ya mkoa nk

5. Ujenzi wa soko la kisasa Chang'ombe hadi leo.

Vyote vinasuasua 2020 Imefika miradi yote haijakamilika.
Hosp ya uhuru inaendelea na ujenzi.

Pete/ring road kuna kulipa fidia, washamaliza uthaminishaji..

Jamaa anaweza achilia mbali mambo mengine.

Haya ya maujenzi ujenzi sijui miundombinu jamaa ni bingwa.
 
Ile ni zonal hospital.. National hospital siyo ya wana dodoma ni hopsitali ya rufaa ya juu zaidi.

Hata muhimbili inatumika vibaya.. ilitakiwa bila rufaa kutoka zonal hospital usitibiwe..


Inaonekana sera ya afya Tanzania wengi hatujui inafanyaje kazi.
Kwani Benjamin mkapa haijatosha?
 
Kabisa.. kuna tatizo kubwa kwenye maamuzi..


Ulichukua 700B za kigongo ukajumlisha na Salender 500B .. unapata kama tr 1.2..


Imagine tulajenga New National Hospital pale dodoma...ya 1.2Tr .. nakwambia Tanzania ingekua mbali sana ..
Zile 700bn za kigongo busisi zingefaa sana na wazo mujarabu sana

Tatizo Mataga watabisha
 
Wananchi wanataka huduma nzuri, upatikanaji wa madawa na Vifaa vya upimaji, unafuu&garama za matibabu..... Msikimbilie sijui mjenge mjengoooi

Ova
 
Wananchi wanataka huduma nzuri, upatikanaji wa madawa na Vifaa vya upimaji, unafuu&garama za matibabu..... Msikimbilie sijui mjenge mjengoooi

Ova
 
Back
Top Bottom