Tuchukue tu mfano wa mafuriko ya mto mississipi mwaka ule 2004,jimbo la new orlince liliharibika mno.Mto wenyewe haukuharibika mpaka lea mississipi ipo.Madhara yalitokea pembeni ya mto,kule wanakoishi watu.
Iweje mnachukua tahadhari katikati ya mto ilhali madhara hutokea pembezoni mwa mto? Si tufikirie kukinga hata mwambao ambako ndiko huadhirika,na ndiko waishipo watu na mali zao?
Nasema hivi haka ka-kondom kanakofunika katikati tu,kweli kanakukingeni na maambukizi ya kale kagonjwa?
Mbona naona hatari kubwa iko pembeni huko,ambako mafuriko huelekea!!.Huko pembeni huko ndiko haswa kuna michubuko isababishwayo na fungus,msuguano wa mapaja (hasa kwa mabonge),kunyoa na nyembe na vipele vinavyojitokeza baada ya kunyoa.
Huku tunapakingaje? Nani asiyejua hutokea mafuriko wakati wa uvunjaji wa ile amri? Haya mafuriko hutapakaa hadi mapajani ktk maungio,ambako wanaume wengi huwa wamechanika.Tuseme tuko salama kweli ktk kile kijivazi?
Mimi binafsi naona sitatumia kondoms kwa maana ya kujikinga na VVU,hadi hapo wataalam mtakapotuletea kondoms ambazo zitafunika maeneo yote hatari,yaani iwe kama NEPRON inayotumika kukingia watoto kujichafua wakati wa kula,yeees! i mean iwe kama chupi hiviiii!! au boxer.
Nawasilisha Hoja.
Iweje mnachukua tahadhari katikati ya mto ilhali madhara hutokea pembezoni mwa mto? Si tufikirie kukinga hata mwambao ambako ndiko huadhirika,na ndiko waishipo watu na mali zao?
Nasema hivi haka ka-kondom kanakofunika katikati tu,kweli kanakukingeni na maambukizi ya kale kagonjwa?
Mbona naona hatari kubwa iko pembeni huko,ambako mafuriko huelekea!!.Huko pembeni huko ndiko haswa kuna michubuko isababishwayo na fungus,msuguano wa mapaja (hasa kwa mabonge),kunyoa na nyembe na vipele vinavyojitokeza baada ya kunyoa.
Huku tunapakingaje? Nani asiyejua hutokea mafuriko wakati wa uvunjaji wa ile amri? Haya mafuriko hutapakaa hadi mapajani ktk maungio,ambako wanaume wengi huwa wamechanika.Tuseme tuko salama kweli ktk kile kijivazi?
Mimi binafsi naona sitatumia kondoms kwa maana ya kujikinga na VVU,hadi hapo wataalam mtakapotuletea kondoms ambazo zitafunika maeneo yote hatari,yaani iwe kama NEPRON inayotumika kukingia watoto kujichafua wakati wa kula,yeees! i mean iwe kama chupi hiviiii!! au boxer.
Nawasilisha Hoja.