Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,342
- 3,002
Habari Wakuu,
Hii ni kwa Walimu na Wadau elimu hasa kwa shule za Sekondari, kuna hii kazi ya NECTA ya Photo Entry kwa wanafunzi wa Kidato cha Pili na Nne kwa mwaka 2019.
Nafanya kazi hii popote nchini kwa kutumia mfumo maalumu wa computer(software) ambao unarahisisha kazi hii kwa mda mfupi sana, vyote kulingana na mahitaji (specifications) ya Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).
Picha inatakiwa iwe na ukubwa wa 132X185 (Width na Height) pia Uzito usiozidi 4Kb kwa picha.
Kazi inafanyika hapo shuleni na kukabidhiwa kazi yako ikiwa ni CD yenye picha za wanafunzi pamoja printed documents. Vyote hivi ni kwa gharama ya shilingi 1500 tu kwa mwanafuzi mmoja.
Nitafute kwa mawasiliano haya:
0752110945 au PM kwa maelezo zaidi.
Hii ni kwa Walimu na Wadau elimu hasa kwa shule za Sekondari, kuna hii kazi ya NECTA ya Photo Entry kwa wanafunzi wa Kidato cha Pili na Nne kwa mwaka 2019.
Nafanya kazi hii popote nchini kwa kutumia mfumo maalumu wa computer(software) ambao unarahisisha kazi hii kwa mda mfupi sana, vyote kulingana na mahitaji (specifications) ya Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).
Picha inatakiwa iwe na ukubwa wa 132X185 (Width na Height) pia Uzito usiozidi 4Kb kwa picha.
Kazi inafanyika hapo shuleni na kukabidhiwa kazi yako ikiwa ni CD yenye picha za wanafunzi pamoja printed documents. Vyote hivi ni kwa gharama ya shilingi 1500 tu kwa mwanafuzi mmoja.
Nitafute kwa mawasiliano haya:
0752110945 au PM kwa maelezo zaidi.