Tunaenda na kanuni, kwahiyo Yanga jiandaeni kuweka logo nyekundu ya mdhamini kwenye jezi zenu msimu ujao

man dunga

JF-Expert Member
Oct 13, 2013
3,216
5,566
Logo ya mdhamini wa ligi ni nyekundu ila Yanga walilegezewa kwa kuweka logo nyeusi ambayo sio halisi. Vodacom na TFF wanasema msimu ujao ni kwenda na kanuni tu na kwa kuanza ni logo halisi ya mdhamini yaani nyekundu kwa kila klabu inayoshiriki ligi.

Japo mnaonekana mpo enzi za mawe kwa kukataa logo halisi ila msimu ujao kanuni itasimamia kikamilifu.
 
Logo ya mdhamini wa ligi ni nyekundu ila yanga walilegezewa kwa kuweka logo nyeusi ambayo sio halisi. Vodacom na TFF wanasema msimu ujao ni kwenda na kanuni tu na kwa kuanza ni logo halisi ya mdhamini yaani nyekundu kwa kila klabu inayoshiriki ligi.

Japo mnaonekana mpo enzi za mawe kwa kukataa logo halisi ila msimu ujao kanuni itasimamia kikamilifu.
 
Team Viewer, baada ya kupata dili la udhamini wa jezi za Man United, imembidi abadili rangi ya logo (kwenye jezi za Man United) ili ziendane na rangi za timu ya Manchester United.
 
Team Viewer, baada ya kupata dili la udhamini wa jezi za Man United, imembidi abadili rangi ya logo (kwenye jezi za Man United) ili ziendane na rangi za timu ya Manchester United.
Mkuu unaelewa maana ya udhamininwa ligi na udhamini wa timu lakini?
 
Bora injinia kajisemea ukweli.
Utafikiri timu ya mtaani.
Yaani vurugu vurugu.
Huyu anasema hili .Yule anasema lake.
Linapofika suala la yanga hata Kama n profesa n shabik wa yanga akili za kufkir huwa ndogo sisi yanga tunazidiwa hata na CCM kufikir
Screenshot_20210604-180320.jpg
 
Hakuna cha Tff wala mdhamini aliyepo au atakaye kuja katika mpira wa nchi hii atakaye jaribu kuwalazimisha Yanga kuvaa logo yenye rangi nyekundu.
Apo nyuma Vodacom na Tff walishawahi kujaribu ila alishindwa.
 
Back
Top Bottom