Tunaelekea Wapi Mh Rais wetu mpendwa John Magufuli Uteuzi huu wama DAS na DED unakinaisha

Thomas Sankra Jr

JF-Expert Member
Mar 14, 2013
418
128
Nachukua nafasi hii kwanza kuwapongeza wanajukwaa wote kwa umoja na michango yenu. Jamii forumu pamekuwa mahali salama, kwetu sisi wanajukwaa kutoa mawazo yetu, Dumu daima Jamii forum.

Rais John Pombe Magufuri kwa hili sitakuunga mkono katu , nikweli safari yako umeianza vizuri lakini umesahau Mungu ndio anajua mwisho wetu sote..

Mh Rais Juzi kupitia kwa waziri wa utumishi umeteua MDAS na kamaliza kuunda serikali yake kwa kuwateua Wakurungezi wa majiji, Miji,Manispaa na Halmashauri. Katika uteuzi huo wapo Watumishi halali waliohitumikia nchi hii kwa uaminifu mkubwa, pia wapo wanasiasa wengine waliokuwepo kwenye utumishi huu wa umma lakini waliona vyema wakaingie kwenye siasa na wengine hawajawahi kuwa watumishi wa umma na wala hawajuwi misingi ya utumishi wa umma. Hali hii imenifanya nikinai sana zoezi hii, najuwa wapo waliofurahia uteuzi wako ... Hakika ni mawazo yao yao ukweli Mh Rais umearibu misingi ya utumishi wa umma..

Mh Rais ndani ya utumishi wa umma kuna walimu, watawala, madaktari, na watu wenye Taaluma za weledi mbalimbali, ndani ya utumishi wa umma kuna watumishi waadilifu na wenye maadili ya kutosha, ndani ya utumishi wa umma wapo watendaji wasomi, ndani ya utumishi wa umma kuna watendaji waaminifu, wachapaka, na waliotumikia utumishi wa umma katika mazingira tofauti kila pembe ya nchi hii kila tatizo la nchii hii kila mipaka ya nchi hii wanaijuwa. Utumishi wao umetukuka na kupongezwa leo hii unawaacha nakwenda kuwachukuwa watu ndani ya chama chako ambao hawajuwi misingi ya utumishi wa umma, hawajawahi kuwa watumishi wa umma na wengine walishindwa kuwa watumishi wa umma ndio unawapeleka kwenye nafasi za UDAS na UDED Mh Rais hapana hii sio utashi wa hekima na misingi tuliyopita

Kwa jambo hili sitakuunga mkono aiwezekani mtu hajawai kuona machungu ya utumishi wa umma leo anatoka polini alipotoka na kuwa DAS au DED kuna Watendaji wengi waandamizi walio tumikia utumishi wa umma kwa uhaminifu.

Mwisho.
 
Hii nchi kama itaendelea kuongozwa na ccm, sarakasi hazita kaa ziishe. Ni aina tu ya sarakasi ndizo zitakazo tofautiana.
 
Nachukua nafasi hii kwanza kuwapongeza wanajukwaa wote kwa umoja na michango yenu. Jamii forumu pamekuwa mahali salama, kwetu sisi wanajukwaa kutoa mawazo yetu, Dumu daima Jamii forum.

Rais John Pombe Magufuri kwa hili sitakuunga mkono katu , nikweli safari yako umeianza vizuri lakini umesahau Mungu ndio anajua mwisho wetu sote..

Mh Rais Juzi kupitia kwa waziri wa utumishi umeteua MDAS na kamaliza kuunda serikali yake kwa kuwateua Wakurungezi wa majiji, Miji,Manispaa na Halmashauri. Katika uteuzi huo wapo Watumishi halali waliohitumikia nchi hii kwa uaminifu mkubwa, pia wapo wanasiasa wengine waliokuwepo kwenye utumishi huu wa umma lakini waliona vyema wakaingie kwenye siasa na wengine hawajawahi kuwa watumishi wa umma na wala hawajuwi misingi ya utumishi wa umma. Hali hii imenifanya nikinai sana zoezi hii, najuwa wapo waliofurahia uteuzi wako ... Hakika ni mawazo yao yao ukweli Mh Rais umearibu misingi ya utumishi wa umma..

Mh Rais ndani ya utumishi wa umma kuna walimu, watawala, madaktari, na watu wenye Taaluma za weledi mbalimbali, ndani ya utumishi wa umma kuna watumishi waadilifu na wenye maadili ya kutosha, ndani ya utumishi wa umma wapo watendaji wasomi, ndani ya utumishi wa umma kuna watendaji waaminifu, wachapaka, na waliotumikia utumishi wa umma katika mazingira tofauti kila pembe ya nchi hii kila tatizo la nchii hii kila mipaka ya nchi hii wanaijuwa. Utumishi wao umetukuka na kupongezwa leo hii unawaacha nakwenda kuwachukuwa watu ndani ya chama chako ambao hawajuwi misingi ya utumishi wa umma, hawajawahi kuwa watumishi wa umma na wengine walishindwa kuwa watumishi wa umma ndio unawapeleka kwenye nafasi za UDAS na UDED Mh Rais hapana hii sio utashi wa hekima na misingi tuliyopita

Kwa jambo hili sitakuunga mkono aiwezekani mtu hajawai kuona machungu ya utumishi wa umma leo anatoka polini alipotoka na kuwa DAS au DED kuna Watendaji wengi waandamizi walio tumikia utumishi wa umma kwa uhaminifu.

Mwisho.

Sauti Yako ni sauti yangu.
Mwl. Aliacha nchi ya watu wote Leo ni ya chama kimoja na mtu mmoja tunaelekea kuwa Kama Uganda.
 
Tunarudishwa kwenye enzi za zidumu fikra pekee za Mwenyekiti wa Chama Tawala-CCM.

Kama enzi za chama kushika hatamu. Hatari sana....
 
Hapa ndipo anguko lilipo...hawa ma DAS,DED,DC ndio msingi wa Nyumba......

Ndani ya miezi tutarajie mabadiliko ya Mara kwa Mara,kufukuzana(ili kupata kick kwamba hakuna mchezo)
Mimi ni supporter mkubwa wa Magu ila huu uteuzi nimeanza kuwa na doudt naye, aisee kajaza watu wa ajabu kweli kuna watu kama tisa nawajua hawajui chochote zaidi ya kuwa makada, nashindwa kuelewa huu uteuzi kafanya akiwa ofisi za chama mbona Mkapa teuzi zake zilikuwa za maana sio huu ujinga anaofanya....nimeanza kurudia hotuba zake naona kuna shida
 
Magufuli naona anapo sema Tanzania ya viwanda nadhani anazunguzia viwanda vya kupambana na wapinzania na kuwafurahisha wana ccm
 
Nimeongea hapa jana naona watu wakanitukana sana.Mimi ni mfuasi wa Magufuli na si wa chama chake.Nilimchagua yeye kama yeye...Baada ya kumsikiliza na kuona nia ya dhati katika matamshi na matendo yake.Nimesikitishwa na uteuzi huu wa nafasi za utumishi wa umma

Nini maana ya kuwa na GOVERNMENT STANDING ORDER(2009) kama tu inawezekana mtu kushinda Lumumba na kupiga umbeya na hatimaye kusifia watawala na baade kupata cheo?Utumishi wa umma sio siasa...kuwa mkurugenzi maanake unakuwa "CHIEF ACCOUNTANT" wa kurugenzi yako,hawa vijana wa Lumumba ni lini wamekaa ndani ya utumishi wa umma kiasi wakabishiwe madaraka makubwa haya??

Wengine kwa moyo mkunjufu tumeanzia nafasi za Ukatibu kata,tena Mikoa ya pembezoni ambapo vijana wengine walipakataa,tumevumilia,tumeajitahidi na kuwa waasilifu.Sio kweli kuwa Watumishi wote ni wezi...Yaani ina maana sisi tuliojitoa miaka 8 iliyopita tukiwa na degree zetu kuja kuanza kazi vijijini kweli hatuna sifa jamani??Kwamba ili sasa uchaguliwe ni lazima kujipendekeza kwa wakubwa wa CCM?Kweli huko ndipo tulipofikia??Huyu ndio Rais wa "WOTE?"
 
Hata mimi bila kuficha, mwanzoni nilivyomuona Magufuli akitenda na hasa ile hotuba yake ya wazee wa Dar, nilijua tumepata Rais Mzalendo ambaye hakika nchi yetu itasogea. Kadri siku zinavyozidi kusogea napata ufahamu mpya kuwa huyu ndugu hiyo taasisi ya Urais anapwaya sana. Hajui lipi lifanyike vipi na wapi, nani anastahili nini na muda upi kifanyike kipi.
 
mwacheni Magufuri afanye kazi yake kwani akiharibu 2020 ipo karibu, tena mstonye ili aje haulizwe aliifanyia nini tanzania kwa miaka mitano
 
1468066575498.jpg
 
Hata mimi bila kuficha, mwanzoni nilivyomuona Magufuli akitenda na hasa ile hotuba yake ya wazee wa Dar, nilijua tumepata Rais Mzalendo ambaye hakika nchi yetu itasogea. Kadri siku zinavyozidi kusogea napata ufahamu mpya kuwa huyu ndugu hiyo taasisi ya Urais anapwaya sana. Hajui lipi lifanyike vipi na wapi, nani anastahili nini na muda upi kifanyike kipi.

Uzalendo sio kutokwa na maneno mengi mdomoni
 
Nachukua nafasi hii kwanza kuwapongeza wanajukwaa wote kwa umoja na michango yenu. Jamii forumu pamekuwa mahali salama, kwetu sisi wanajukwaa kutoa mawazo yetu, Dumu daima Jamii forum.

Rais John Pombe Magufuri kwa hili sitakuunga mkono katu , nikweli safari yako umeianza vizuri lakini umesahau Mungu ndio anajua mwisho wetu sote..

Mh Rais Juzi kupitia kwa waziri wa utumishi umeteua MDAS na kamaliza kuunda serikali yake kwa kuwateua Wakurungezi wa majiji, Miji,Manispaa na Halmashauri. Katika uteuzi huo wapo Watumishi halali waliohitumikia nchi hii kwa uaminifu mkubwa, pia wapo wanasiasa wengine waliokuwepo kwenye utumishi huu wa umma lakini waliona vyema wakaingie kwenye siasa na wengine hawajawahi kuwa watumishi wa umma na wala hawajuwi misingi ya utumishi wa umma. Hali hii imenifanya nikinai sana zoezi hii, najuwa wapo waliofurahia uteuzi wako ... Hakika ni mawazo yao yao ukweli Mh Rais umearibu misingi ya utumishi wa umma..

Mh Rais ndani ya utumishi wa umma kuna walimu, watawala, madaktari, na watu wenye Taaluma za weledi mbalimbali, ndani ya utumishi wa umma kuna watumishi waadilifu na wenye maadili ya kutosha, ndani ya utumishi wa umma wapo watendaji wasomi, ndani ya utumishi wa umma kuna watendaji waaminifu, wachapaka, na waliotumikia utumishi wa umma katika mazingira tofauti kila pembe ya nchi hii kila tatizo la nchii hii kila mipaka ya nchi hii wanaijuwa. Utumishi wao umetukuka na kupongezwa leo hii unawaacha nakwenda kuwachukuwa watu ndani ya chama chako ambao hawajuwi misingi ya utumishi wa umma, hawajawahi kuwa watumishi wa umma na wengine walishindwa kuwa watumishi wa umma ndio unawapeleka kwenye nafasi za UDAS na UDED Mh Rais hapana hii sio utashi wa hekima na misingi tuliyopita

Kwa jambo hili sitakuunga mkono aiwezekani mtu hajawai kuona machungu ya utumishi wa umma leo anatoka polini alipotoka na kuwa DAS au DED kuna Watendaji wengi waandamizi walio tumikia utumishi wa umma kwa uhaminifu.

Mwisho.
subiri kura zitapotosha kwenu, saizi zamu yao wacha waendelee kula sehemu ya mali iliyowaangukia.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom