Tena siyo tu kwamba ukada wa chama cha mapinduzi umezingatiwa sana ktk teuzi zake hizi, bali pia ni kama alikuwa anawapa kipaumbele wale wanaoongea sana kwenye vyombo vya habari kukitetea chama. Waseme tu kama hizi nafasi ni kwa ajili ya kuimairisha chama kwenye mashina - kwa kutumia fedha za umma.