Tunaelekea kuwa na ulimwengu wa ajabu sana Mungu atusaidie

Majs

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
229
485
Tunaelekea kuwa na jamii inayopoteza wanaume namaanisha idadi ya mashoga inaongezeka kwa kasi ya ajabu kibaya zaidi idadi ya walioko hadharani ni ndogo kuliko walioko sirini unamuona mwanaume ni gentlemen amechomekea amependeza kumbe amna kitu.

Atlest hii generation ya miaka 40/50 na kuendelea lkn hawa wanaobakia Mungu asimame ,miaka wanaume hawajali tena kuhusu mamlaka yao ni huzuni.

Ukweli ni kwamba hatuwezi kusimama na kuwa na jamii inayoeleweka bila kauli na mamlaka ya wanaume no matter what hata wanawake wasimame wapewe nafasi na nyadhifa zote duniani hakuna kitu kita make sense sababu hatuwezi kubishana na "nature" mwanaume ana nafasi yake na mwanamke hivo hivo.

Wazazi,walezi na taasisi za dini kama suala la malezi linashindikana kwa sasa basi wajitaidi kuombea hiki kizazi jamani.

Imagine hii ni karne ya 21 itakuwaje ya 25, kizazi ambacho mwanaume kiumbe alieumbwa na Mungu akampa uwezo wa kujiamini, kujikubali na kufanya jambo lolote liliko mbele yake ila leo hii anadiriki kutamka kwamba yeye ni mwanamke hii sio hali ya kawaida.

Mungu atusaidie
 
Uzuri huo ulimwengu unao uwaza wewe hatutoweza kuona. Ni vitu ambavyo havitakiwi ata kuniwazisha.
 
Tunaelekea kuwa na jamii inayopoteza wanaume namaanisha idadi ya mashoga inaongezeka kwa kasi ya ajabu kibaya zaidi idadi ya walioko hadharani ni ndogo kuliko walioko sirini unamuona mwanaume ni gentlemen amechomekea amependeza kumbe amna kitu.

Atlest hii generation ya miaka 40/50 na kuendelea lkn hawa wanaobakia Mungu asimame ,miaka wanaume hawajali tena kuhusu mamlaka yao ni huzuni.

Ukweli ni kwamba hatuwezi kusimama na kuwa na jamii inayoeleweka bila kauli na mamlaka ya wanaume no matter what hata wanawake wasimame wapewe nafasi na nyadhifa zote duniani hakuna kitu kita make sense sababu hatuwezi kubishana na "nature" mwanaume ana nafasi yake na mwanamke hivo hivo.

Wazazi,walezi na taasisi za dini kama suala la malezi linashindikana kwa sasa basi wajitaidi kuombea hiki kizazi jamani.

Imagine hii ni karne ya 21 itakuwaje ya 25, kizazi ambacho mwanaume kiumbe alieumbwa na Mungu akampa uwezo wa kujiamini, kujikubali na kufanya jambo lolote liliko mbele yake ila leo hii anadiriki kutamka kwamba yeye ni mwanamke hii sio hali ya kawaida.

Mungu atusaidie
BRdF-X0CMAA4a0r.jpg
mashoga-1.jpg
shog.jpg
1+%281%29.png
 
Tunaelekea kuwa na jamii inayopoteza wanaume namaanisha idadi ya mashoga inaongezeka kwa kasi ya ajabu kibaya zaidi idadi ya walioko hadharani ni ndogo kuliko walioko sirini unamuona mwanaume ni gentlemen amechomekea amependeza kumbe amna kitu.

Atlest hii generation ya miaka 40/50 na kuendelea lkn hawa wanaobakia Mungu asimame ,miaka wanaume hawajali tena kuhusu mamlaka yao ni huzuni.

Ukweli ni kwamba hatuwezi kusimama na kuwa na jamii inayoeleweka bila kauli na mamlaka ya wanaume no matter what hata wanawake wasimame wapewe nafasi na nyadhifa zote duniani hakuna kitu kita make sense sababu hatuwezi kubishana na "nature" mwanaume ana nafasi yake na mwanamke hivo hivo.

Wazazi,walezi na taasisi za dini kama suala la malezi linashindikana kwa sasa basi wajitaidi kuombea hiki kizazi jamani.

Imagine hii ni karne ya 21 itakuwaje ya 25, kizazi ambacho mwanaume kiumbe alieumbwa na Mungu akampa uwezo wa kujiamini, kujikubali na kufanya jambo lolote liliko mbele yake ila leo hii anadiriki kutamka kwamba yeye ni mwanamke hii sio hali ya kawaida.

Mungu atusaidie
Dunia inatembea kwa kasi ya ajabu sana... mabadiliko ya Technology ndio yanasababisha yote haya pamoja na Agenda za siri japo sina prove yoyote ila Mpango mkubwa ni kubwa na smart people, intelligence one,hilo watalifikia kwa kuhakikisha organization zote zinazofanya kupunguza uzazi(kuzaliana) zifanye kazi..

Pamoja na kutupia magonjwa mbalimbali mbali ..ndio maana kwa sasa wana bendera yao kabsa hawa wanao ooana na jinsia Moja...

Kwa tutazidi kuona mengi sana,huwa naomba ingekuwa rahisi kuishi miaka 200 tu ijayo toka sasa kuna mengi yatatokea.
Uhalisia wa binadamu na Nature ilivyo wanahangaika sana kuubadili kwa nguvu zote na kuweka madola ya pesa kwa organization mbalimbali, siwezi kuzitaja ila zinajulikana.

Anyway yote kwa Yote,once we died it's over!...
 
Mbaya zaidi inaanza kufanywa kuwa ni jambo la kawaida. hiv sasa haishangazwi kutongozwa na shoga, halafu ukimuangalia huenda hata usifikirie kuwa anaweza kuwa bwabwa.

hv sasa ni kawaida kuangalia series au movie ukakuta ushoga. hv karibuni karibu kila movie na series ya Hollywood ninayoangalia nakutana na mambo ya ushoga.
 
Hao dawa yao ni Uisilamu tu,hautaki hayo mambo na wakifa wakazikwa husafirisho mpaka sodoma na gomora
 
Tunaelekea kuwa na jamii inayopoteza wanaume namaanisha idadi ya mashoga inaongezeka kwa kasi ya ajabu kibaya zaidi idadi ya walioko hadharani ni ndogo kuliko walioko sirini unamuona mwanaume ni gentlemen amechomekea amependeza kumbe amna kitu.

Atlest hii generation ya miaka 40/50 na kuendelea lkn hawa wanaobakia Mungu asimame ,miaka wanaume hawajali tena kuhusu mamlaka yao ni huzuni.

Ukweli ni kwamba hatuwezi kusimama na kuwa na jamii inayoeleweka bila kauli na mamlaka ya wanaume no matter what hata wanawake wasimame wapewe nafasi na nyadhifa zote duniani hakuna kitu kita make sense sababu hatuwezi kubishana na "nature" mwanaume ana nafasi yake na mwanamke hivo hivo.

Wazazi,walezi na taasisi za dini kama suala la malezi linashindikana kwa sasa basi wajitaidi kuombea hiki kizazi jamani.

Imagine hii ni karne ya 21 itakuwaje ya 25, kizazi ambacho mwanaume kiumbe alieumbwa na Mungu akampa uwezo wa kujiamini, kujikubali na kufanya jambo lolote liliko mbele yake ila leo hii anadiriki kutamka kwamba yeye ni mwanamke hii sio hali ya kawaida.

Mungu atusaidie
umejidhihirisha kuwa ni punga kwel ?? Ilijuaje hebu leta story ilivokuwa
 
Back
Top Bottom