Tunadai serikali haitoi ajira, na hizi ni nini?

Jimmy George

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
1,733
1,643
9265fd3a9025d9cdbbb62d16f352689c.jpg
 
Mageziti sasa hivi yanatumia Habari za ajira ili kuuza magazeti. Wakiona biashara imekaa vibaya wanaandika tu heading kubwaaaaaa SERIKALI YA MWAGA AJIRA.
ukisoma ndani serikali ipo kwenye mchakato..........
Haya yalisemwa na flani akiwa sehem flani...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom