Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Hiyo pump kwa uzoefu wako inaweza kufanya kazi ninayoitaka?Je pia Kama hizo za umeme pia zipo?
Hiyo pump sina uzoefu nayo ila ni bora kichukua pump ya kudumbukiza yenye horse power kubwa , kisha kutengeneza mabwawa ya kukusanyia maji, hii gharama zake zitakuwa nafuu zaidi hata maintenance zake ni nafuu,
 
yonga KING KIGODA kwa watu wenye mashamba makubwa na wanamwagilia kwa kisima kirefu mi vizuri ukishachimba kisima chako unafunga pump za kudumbukia ( deep Submersible pump) kisha unaweka point za kukusanyia maji,hizi point ni mabwawa unachimba kila baada ya hekari kadhaa, kutoka kwenye haya mabwawa ndio unafunga surface pump ambazo ndo zitamwagilia maeneo jirani ya kila bwawa na pia hii surface pump unaweza ukafunga na sprinkler kadhaa, hii ni project kubwa, kama unaweza tuje na team yangu kufanya preliminary survey kisha tutaweza kupata budjet ya kuweka hiyo miundombinu ya maji kwa shamba lote.
Daaah kwa hiyo hapa utakua inatumia energy Mara mbili kwenye kuvuta maji kwanza Ile ya kutoka kwenye kisima pili Ile ya kutoa Tena kwenye bwawa kwenda bwawa Kuna mtihani hapa.

Ile pump niliyokutumia siku Ile ya borehole lineshaft nimeona wahindi wanapeleka maji moja kwa moja toka kisima kwenda shamba na volume ya maji ni nzuri kiasi.

Sema sasa sijajua specification zake na uwezo na jinsi ya kuitoa India kuja Tanzania.
 
Hiyo pump sina uzoefu nayo ila ni bora kichukua pump ya kudumbukiza yenye horse power kubwa , kisha kutengeneza mabwawa ya kukusanyia maji, hii gharama zake zitakuwa nafuu zaidi hata maintenance zake ni nafuu,
Hizi za kudumbukiza kubwa zake ni horse power ngapi?na outlet ya bomba zake ni inch ngapi?
 
Daaah kwa hiyo hapa utakua inatumia energy Mara mbili kwenye kuvuta maji kwanza Ile ya kutoka kwenye kisima pili Ile ya kutoa Tena kwenye bwawa kwenda bwawa Kuna mtihani hapa.

Ile pump niliyokutumia siku Ile ya borehole lineshaft nimeona wahindi wanapeleka maji moja kwa moja toka kisima kwenda shamba na volume ya maji ni nzuri kiasi.

Sema sasa sijajua specification zake na uwezo na jinsi ya kuitoa India kuja Tanzania.
Hakuna linaloshindika mkuu, shida ni taarifa sahihi, endelea kufanya tafiti..haswa kwa hao wahindi uliowaona wakiitumia.
 
Hakuna linaloshindika mkuu, shida ni taarifa sahihi, endelea kufanya tafiti..haswa kwa hao wahindi uliowaona wakiitumia.
Poa nikipata video yake pump inavyofanya kazi ya hao wahindi Nita post hapa.

Nina watu kama watatu hivi wamechimba visima virefu mashambani Ila suala la pump ni mtihani mpaka Leo,pump wanazopata ni zile za kuweka tu maji kwenye tank hazikidhi mahitaji wanayotaka
 
Poa nikipata video yake pump inavyofanya kazi ya hao wahindi Nita post hapa.

Nina watu kama watatu hivi wamechimba visima virefu mashambani Ila suala la pump ni mtihani mpaka Leo,pump wanazopata ni zile za kuweka tu maji kwenye tank hazikidhi mahitaji wanayotaka
For time being wambie njia hii ya kuchimba mabwawa, yanachimbwa kisha yanazungushwiwa turubai maalumu ambapo gharama sio kubwa na kutoka bwawa moja hadi jingine maji yanaweza kwenda yenyewe kwa kuwekwa pvc pipe haiina haja ya energy..
 
Habar Jf members,

Tunapenda kuwajulisha sasa tumeongeza huduma za ufundi bomba,wakazi wa Iringa na Mbeya sasa mnaweza kupata huduma zetu kwa kupitia kwa partners wetu waliopo mikoa hiyo kwa bei nafuu kabisa tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa inatulazimu kusafiri kutoka DSM kuja huko.
Huduma zitolewazo ni:

•KUWEKA NA KUTENGENEZA BOMBA (PLUMBING SYSTEM) KWENYE MAJENGO YALIYO KWENYE UJENZI NA YATUMIKAYO.
• KUBADILISHA/ KUSAFISHA PIPE ZA MAJI SAFI/TAKA ZILIZOPASUKA/ KUZIBA.
• KUTENGENEZA (REPAIR) PUMPS ZA MAJI.
• KUFANYA SURVEY KWA WALE WENYE MALENGO YA KUCHIMBA VISIMA VIREFU VYA MAJI.

Contact
0759600809
Weka bei kwa mita shilling ngapi?
 
For time being wambie njia hii ya kuchimba mabwawa, yanachimbwa kisha yanazungushwiwa turubai maalumu ambapo gharama sio kubwa na kutoka bwawa moja hadi jingine maji yanaweza kwenda yenyewe kwa kuwekwa pvc pipe haiina haja ya energy..
Energy ninazungumzia ile ya kutoa maji kutoka kisimani kwenda bwawani na kutoka bwawani kwenda shambani.

Yani pump si itafanya kazi Mara mbili ndio nilichokua Nina maanisha
 
Solar water pumps zinapatikana sasa kwa malipo kidogo kidogo.
Solar water pumps zetu zinafaa kwa matumizi ya aina mbalimbali, zipo za kisima, mabwawa, mito, maziwa, n.k Pia solar water pump hizi zinauwezo Wa kuswich na kutumia umeme wa AC.
Utaratibu wa kupata pampu kwa malipo kidogo kidogo👇
👉Wasiliana nasi kisha tutakuja site kufanya tathimini ya mahitaji.
👉Tutakupa mchanganuo wa gharama.
👉 Utafanya malipo ya awali.
👉Tutakufungia pump na mfumo wote wa solar.
👉endelea kufurahia huduma kwa malipo kidogo kila mwezi unaofuata.

Call/whatsap +255 699 494650
Kwa mkoa wa arusha unaweza kwenda ofisi ya Njiro viwanja vya 88.
Mikoa mingine tunafika pia.
IMG_20221222_120542.jpg
IMG_20221222_120546.jpg
 
Solar water pumps zinapatikana sasa kwa malipo kidogo kidogo.
Solar water pumps zetu zinafaa kwa matumizi ya aina mbalimbali, zipo za kisima, mabwawa, mito, maziwa, n.k Pia solar water pump hizi zinauwezo Wa kuswich na kutumia umeme wa AC.
Utaratibu wa kupata pampu kwa malipo kidogo kidogo
Wasiliana nasi kisha tutakuja site kufanya tathimini ya mahitaji.
Tutakupa mchanganuo wa gharama.
Utafanya malipo ya awali.
Tutakufungia pump na mfumo wote wa solar.
endelea kufurahia huduma kwa malipo kidogo kila mwezi unaofuata.

Call/whatsap +255 699 494650
Kwa mkoa wa arusha unaweza kwenda ofisi ya Njiro viwanja vya 88.
Mikoa mingine tunafika pia.
View attachment 2455278View attachment 2455279
Bei kwa 3Hp
 
Back
Top Bottom