Feb 14, 2015
43
37
Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji kufungiwa water pump ipo ya solar milioni 1.6 ya umeme laki 5 zote zikiwa complete pamoja na instalation.Kisima kinauwezo Wa kutoa Zaidi ya Lita 7000 kwa siku. Unaweza tumia Maji kwa mahitaji ya nyumbani, Kilimo cha umwagiliaji, na mifugoKwa maelezo zaidi piga simu 0652556833 au 0754397178 tembelea www.envaya.org/pdprPia tunauza Mizinga ya Nyuki kwa 45000, Mashamba ya Miti ya Mbao laki 4, vifaranga vya Kuku 1300, ujenzi wa green house 2000,000, egg incubator za kutotolea vifaranga kuanzia 250,000 na upimaji wa mashamba Na viwanja kwa ajili ya hati Miliki 50,000/= Mwisho wa offer hii ni Tarehe 15 mwezi wa nane, Share ujumbe huu na wengine.
 
MKUU HIYO BEI YA GREEN HOUSE NI KWA WAPI? PIA HIZO INCUBATOR KAMA HIYO 250000 NI MAYAI MANGAPI NA DAR ZINAFIKA?
 
Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji kufungiwa water pump ipo ya solar milioni 1.6 ya umeme laki 5 zote zikiwa complete pamoja na instalation.Kisima kinauwezo Wa kutoa Zaidi ya Lita 7000 kwa siku. Unaweza tumia Maji kwa mahitaji ya nyumbani, Kilimo cha umwagiliaji, na mifugoKwa maelezo zaidi piga simu 0652556833 au 0754397178 tembelea www.envaya.org/pdprPia tunauza Mizinga ya Nyuki kwa 45000, Mashamba ya Miti ya Mbao laki 4, vifaranga vya Kuku 1300, ujenzi wa green house 2000,000, egg incubator za kutotolea vifaranga kuanzia 250,000 na upimaji wa mashamba Na viwanja kwa ajili ya hati Miliki 50,000/= Mwisho wa offer hii ni Tarehe 15 mwezi wa nane, Share ujumbe huu na wengine.
Mkuu ni visima vya namna gani mnavyochimba? je ni vile vya ku-drill na mashine na kutumbukiza pipes na pump? kama ni hivyo tafadhari niPM. Unesema nchini Kote, mimi niko Mbeya ofisi zenu ziko wapi au kama hamna ofisi, mtafanyaje kunichimbia kisima huku Mbeya?
 
Mkuu ni visima vya namna gani mnavyochimba? je ni vile vya ku-drill na mashine na kutumbukiza pipes na pump? kama ni hivyo tafadhari niPM. Unesema nchini Kote, mimi niko Mbeya ofisi zenu ziko wapi au kama hamna ofisi, mtafanyaje kunichimbia kisima huku Mbeya?
Ofisi zetu zipo Njombe mikoa yote tuanchimba ipo kwa manual mashine na drill inategemea unayo hitaji wewe, Piga simu 0652556833 kwa maelezo zaidi
 
Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji kufungiwa water pump ipo ya solar milioni 1.6 ya umeme laki 5 zote zikiwa complete pamoja na instalation.Kisima kinauwezo Wa kutoa Zaidi ya Lita 7000 kwa siku. Unaweza tumia Maji kwa mahitaji ya nyumbani, Kilimo cha umwagiliaji, na mifugoKwa maelezo zaidi piga simu 0652556833 au 0754397178 tembelea www.envaya.org/pdprPia tunauza Mizinga ya Nyuki kwa 45000, Mashamba ya Miti ya Mbao laki 4, vifaranga vya Kuku 1300, ujenzi wa green house 2000,000, egg incubator za kutotolea vifaranga kuanzia 250,000 na upimaji wa mashamba Na viwanja kwa ajili ya hati Miliki 50,000/= Mwisho wa offer hii ni Tarehe 15 mwezi wa nane, Share ujumbe huu na wengine.
Mie niko Dar,
Nahitaji kuchibiwa kisima kwa drilling,
 
TUNACHIMBA VISIMA VYA MAJI KWA MKOPO #0754397178 KWA MITA MOJA TUNACHIMBA 50,000/= NA SURVEY TUNAFANYA KWA 250,000/= TUPO DAR, MIKOA YOTE TUNAFIKA.

Tunachimba visima virefu vya maji kwa mashine za kisasa na kasi kubwa, Kwa mita moja tunachimba kwa 50,000/= pamoja na casing ya Inch 5, Kwa wakazi wa Dar es salaam na pwani, Na mikoani ni 75,000 kwa mita moja.
Kwa mfano kisima cha …..

Mita 50 = 2,500,000
Mita 100 =5,000,000
Mita 150 = 7,500,000

Kama mteja atakwama kiasi kidogo wastani 40% ya gharama za mradi wake ataangaliwa kukopeshwa kisima na atatakiwa kulipa ndani ya miezi michache.

Tunafanya utafiti wa maji ya ardhini (Underground water survey ) kwa Tsh.laki 2.5 (250,000/=) Kwa wakazi wa Dar na Pwani na laki nne #(400,000/=) kwa kwa wakazi wa mikoani, kutumia mashine za kisasa na mpya ambazo ni LCD Digital zinazo kuwezesha kujua kina cha Maji, wingi, mkondo wa maji, chumvi ukiwa pale pale site na bila kuhitaji kwenda kwenye computer,

UTAPATIWA REPORT YAKO SIKU HIYO HIYO BAADA YA KUTOKA SITE.
HATUJAWAHI KUKOSA MAJI KWA KUTUMIA MASHINE ZETU ZA UNDERGROUND WATER DETECTOR ZA LCD.

UKIKOSA MAJI TUNAFIDIA KWA KUCHIMBA KISIMA KINGINE BILA MALIPO.

Tupo Dar Es Salaam Mbezi Luisi Mikoa yote tunafika. #0754397178

#ZINGATIA:
1) Unashauriwa kabla ya kuanza kujenga nyumba kama unakiwanja kidogo ufanye survey ya maji unaweza ukajenga sehemu yenye mkodo wa maji, Siku ukihitaji kuchimba kisima ukakosa sehemu ya kuchimba kisima katika eneo lako.
2) Unashauriwa kufanya utafiti wa maji aridhini kabla ya kununua shamba au kiwanja kama sehemu hiyo ina tatizo la maji ili kujiridhisha eneo / plot unayonunua ina maji usije ukanunua sehemu isiyo na mkondo wa maji ukashindwa kuja kuchimba kisima katika eneo lako au maji yakawa mbali / chini sana ikakubidi kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha kuchimba kisima, kumbe ungepima mapema ungeepuka gharama zisizo tarajiwa.
3) Mkulima Unashauriwa kuacha kutegemea mvua ambazo hazitabiriki na ukashindwa kuokoa mazao yako au kupata mavuno kidogo kutokana na mabadiriko ya tabia ya nchi na kujikuta unapata hasara kubwa.
4) Unaweza kutumia changamoto ya ukosefu wa Maji kwa maeneo mengi hasa ya Vijijini kama wazo la biashara kwa kuchimba Kisima cha Maji na kuuza maji.
DemoY_2018_04_27_11_37_36.jpg
Flush full.jpg
k ff.jpg
 
JIPATIE KISIMA CHA MAJI KWA LAKI TISA #0754397178 (Nchini kote) Water for All for Africa,

Gharama za mradi ni laki tisa kuchimba, Kama kitakuwa ndani ya Mita 20, Na Kila mita moja itakayoongezeka utalipia 50,000/=

Ukihitaji kufungiwa Water pump ya Umeme ni laki 7, ya mkono laki 5, zote zikiwa complete pamoja vifaa vyake vyote na installation, Kisima Kinauwezo wa kutoa zaidi ya Lita 5,000 kwa siku,

Utaweza kutumia maji kwa mahitahi ya nyumbani, Kilimo, mifugo kwa maelezo zaidi piga simu 0754397178

Kabla ya Kuanza uchimbaji unashauliwa ufanye / tufanye underground water survey kujua maji yapo wapi, umbali gani, kina gani, Dar Tunafanya kwa 150,000 na Mikoani 200,000 Mpaka 250,000/=

FAIDA ZA KUCHIMBA KISIMA NA SISI:
  • Tuna uzoefu wa miaka saba wa kufanya kazi nchini Tanzania na jamii za mjini na vijijini,
  • Ina vifaa / Mashine za kisasa na kasi kubwa ya kuchimbia visima virefu na vifupi,
  • Wateja wote wanaohitaji visima vifupi watafanyiwa Undeground water survey bure kabisa kwa mashine za kisasa za LCD, Ili kukuhakikishia kupata maji katika mita chache na kwa wingi, Na watachangia gharama. Ambayo itakuwa kati ya 150,000 Dar na Mikoani 200,000/= PAMOJA NA USHAURI.
  • Inauzoefu wa uundajii wa pump za mkono (Hand pump) kwa miaka nne na pump zake zinadumu, na warranty ya mwaka mmoja,
  • WAAP – imeshachimba visima virefu karibia kila mkoa wa Tanzania bara na kuona uhitaji wa uwepo wa visima vifupi kwa baadhi ya wakazi wa kipato cha chini ikaamua kuja na mradi huu.

  • Tunafika mikoa yote, Tulishafanya kazi , Iringa, Mbeya, Arusha, Tabora, Mtwara, Dar, Morogoro, Pwani, Mwanza, bUkoba, 0754397178
    DemoY_2018_04_27_11_37_36.jpg
    FB_IMG_15223064410483880.jpg
    FB_IMG_15201095669414210.jpg
 
JIPATIE KISIMA CHA MAJI KWA LAKI TISA #0754397178 (Nchini kote) Water for All for Africa,

Gharama za mradi ni laki tisa kuchimba, Kama kitakuwa ndani ya Mita 20, Na Kila mita moja itakayoongezeka utalipia 50,000/=

Ukihitaji kufungiwa Water pump ya Umeme ni laki 7, ya mkono laki 5, zote zikiwa complete pamoja vifaa vyake vyote na installation, Kisima Kinauwezo wa kutoa zaidi ya Lita 5,000 kwa siku,

Utaweza kutumia maji kwa mahitahi ya nyumbani, Kilimo, mifugo kwa maelezo zaidi piga simu 0754397178

Kabla ya Kuanza uchimbaji unashauliwa ufanye / tufanye underground water survey kujua maji yapo wapi, umbali gani, kina gani, Dar Tunafanya kwa 150,000 na Mikoani 200,000 Mpaka 250,000/=

FAIDA ZA KUCHIMBA KISIMA NA SISI:
  • Tuna uzoefu wa miaka saba wa kufanya kazi nchini Tanzania na jamii za mjini na vijijini,
  • Ina vifaa / Mashine za kisasa na kasi kubwa ya kuchimbia visima virefu na vifupi,
  • Wateja wote wanaohitaji visima vifupi watafanyiwa Undeground water survey bure kabisa kwa mashine za kisasa za LCD, Ili kukuhakikishia kupata maji katika mita chache na kwa wingi, Na watachangia gharama. Ambayo itakuwa kati ya 150,000 Dar na Mikoani 200,000/= PAMOJA NA USHAURI.
  • Inauzoefu wa uundajii wa pump za mkono (Hand pump) kwa miaka nne na pump zake zinadumu, na warranty ya mwaka mmoja,
  • WAAP – imeshachimba visima virefu karibia kila mkoa wa Tanzania bara na kuona uhitaji wa uwepo wa visima vifupi kwa baadhi ya wakazi wa kipato cha chini ikaamua kuja na mradi huu.

  • Tunafika mikoa yote, Tulishafanya kazi , Iringa, Mbeya, Arusha, Tabora, Mtwara, Dar, Morogoro, Pwani, Mwanza, bUkoba, 0754397178View attachment 1437465View attachment 1437466View attachment 1437467
Hamfanyi huduma ya kubadilisha maji chumvi kua ya kawaida?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUNACHIMBA VISIMA VYA MAJI KWA MKOPO #0754397178 KWA MITA MOJA TUNACHIMBA 50,000/= NA SURVEY TUNAFANYA KWA 300,000/= TUPO DAR, MIKOA YOTE TUNAFIKA.

Tunachimba visima virefu vya maji kwa mashine za kisasa na kasi kubwa, Kwa mita moja tunachimba kwa 50,000/= pamoja na casing , Kwa wakazi wa Dar es salaam na pwani, Na mikoani ni 70,000 kwa mita moja.
Kwa mfano kisima cha …..

Mita 50 = 2,500,000
Mita 100 =5,000,000
Mita 150 = 7,500,000

Kama mteja atakwama kiasi kidogo wastani 30% ya gharama za mradi wake ataangaliwa kukopeshwa kisima na atatakiwa kulipa ndani ya miezi michache.

Tunafanya utafiti wa maji ya ardhini (Underground water survey ) kwa Tsh.laki 2.5 (250,000/=) Kwa wakazi wa Dar na Pwani na laki nne #(400,000/=) kwa kwa wakazi wa mikoani, kutumia mashine za kisasa na mpya ambazo ni LCD Digital zinazo kuwezesha kujua kina cha Maji, wingi, mkondo wa maji, chumvi ukiwa pale pale site na bila kuhitaji kwenda kwenye computer,

UTAPATIWA REPORT YAKO SIKU HIYO HIYO BAADA YA KUTOKA SITE.
HATUJAWAHI KUKOSA MAJI KWA KUTUMIA MASHINE ZETU ZA UNDERGROUND WATER DETECTOR ZA LCD.

UKIKOSA MAJI TUNAFIDIA KWA KUCHIMBA KISIMA KINGINE BILA MALIPO.

Tupo Dar Es Salaam Mbezi Luisi Mikoa yote tunafika. #0754397178

#ZINGATIA:
1) Unashauriwa kabla ya kuanza kujenga nyumba kama unakiwanja kidogo ufanye survey ya maji unaweza ukajenga sehemu yenye mkodo wa maji, Siku ukihitaji kuchimba kisima ukakosa sehemu ya kuchimba kisima katika eneo lako.

2) Unashauriwa kufanya utafiti wa maji aridhini kabla ya kununua shamba au kiwanja kama sehemu hiyo ina tatizo la maji ili kujiridhisha eneo / plot unayonunua ina maji usije ukanunua sehemu isiyo na mkondo wa maji ukashindwa kuja kuchimba kisima katika eneo lako au maji yakawa mbali / chini sana ikakubidi kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha kuchimba kisima, kumbe ungepima mapema ungeepuka gharama zisizo tarajiwa.

3) Mkulima Unashauriwa kuacha kutegemea mvua ambazo hazitabiriki na ukashindwa kuokoa mazao yako au kupata mavuno kidogo kutokana na mabadiriko ya tabia ya nchi na kujikuta unapata hasara kubwa.

4) Unaweza kutumia changamoto ya ukosefu wa Maji kwa maeneo mengi hasa ya Vijijini kama wazo la biashara kwa kuchimba Kisima cha Maji na kuuza Maji kwa wafugaji wa Ng'ombe, matumizi ya familia na ukapata faida kubwa tu.

Piga simu #0754397178 kwa maelezo kamili na ushauri.
#visimavyamaji #wizarayamaji #wizarayaafya #uchumi #waziri #kilimo #biashara #ufundi #surveyyamaji #utafitiwamaji #ardhi #undergroundwatersurvey #mineral #dodomafursa #dodomaviwanja #arusha #mwanza #moshi #morogoro #nyanyatikiti #ufugajisamaki #bwawalasamaki #ujenzi
 

Attachments

  • 3o3bpd66mtbkr146q.jpg
    3o3bpd66mtbkr146q.jpg
    76.7 KB · Views: 10
  • IMG-20210108-WA0004.jpg
    IMG-20210108-WA0004.jpg
    18.1 KB · Views: 10
  • VID-20201220-WA0017.mp4
    6.7 MB
Back
Top Bottom