Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,937
Cha kushangaza Zitto naye ameingia kwenye kundi la wajinga.Tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya ni sawa na kuziba mashimo ya Panya kwa Mikate!
Maana Tanzania uchaguzi ni mfumo sio tume tu.Nguvu ya Rais na wateule wake, polisi, TISS, Jeshi, Tume, Tamisemi na wengineo lazima viangaliwe kwa pamoja kupitia katiba mpya.
Hiki kinachoitwa ni Tume huru ya uchaguzi ni changa la macho kwa wajinga ambao ndiyo wengi kwenye hii nchi.
Yule Jecha aliyempora ushindi Maalim Seif na kufuta uchaguzi alikuwa akiongoza tume huru ya Zec.