Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
Habari
Tunaandaa documents mbalimbali kwa ajili ya wajasiriamali. Wajasiriamali wengi nchini wamekuwa wakitafuta huduma hizi kwa gharama nafuu ila wamekuwa wakifanyiwa kwa bei kubwa kutoka kwa watu mbalimbali. Wajasiriamali wengi wameamua kufanya mambo yao kitaalamu zaidi ili kuongeza tija na faida katika biashara zao. Wameamua kukuza biashara zao na si kufanya biashara kizamani kusiko na faida inayoonekana.
Walengwa wetu ni wajasiriamali wadogo, wakubwa, makampuni mbalimbali na watu binafsi. Documents tunazoandaa ni kama zifuatazo:
1. Business plans
2. Memorandum and articles of association kwa anayetaka kuanzisha kampuni
3. Project proposals kwa ajili ya kuombea pesa benki au saccoss
4. Feasibility study katika baadhi ya miradi
Delivery yake ni ya muda mzuri na kwa ubora wa juu.
0758 308193
UPDATE 03/05/22
Kuanzia tarehe hii ya update nimeanza kuandika business plans na proposal kwa ajili ya wajasiriamali wadogo wanaotaka kuanzisha miradi midogo midogo ya kujikimu na wanataka kuombea mikopo na mitaji kutoka taasisi za fedha au serikalini. Miradi modogo midogoi mfanoi kutengeneza mkaa mbadala, ushonaji, kutengeneza juice mbalimbali, mama lishe, biashara za usaciri, maduka nk. Business proposal 1 ya aina hii miradi midogo midogop ni tsh 50000 kwa proposal. Hizi ni biashara za mtaji chini ya tsh 2M.
Tunaandaa documents mbalimbali kwa ajili ya wajasiriamali. Wajasiriamali wengi nchini wamekuwa wakitafuta huduma hizi kwa gharama nafuu ila wamekuwa wakifanyiwa kwa bei kubwa kutoka kwa watu mbalimbali. Wajasiriamali wengi wameamua kufanya mambo yao kitaalamu zaidi ili kuongeza tija na faida katika biashara zao. Wameamua kukuza biashara zao na si kufanya biashara kizamani kusiko na faida inayoonekana.
Walengwa wetu ni wajasiriamali wadogo, wakubwa, makampuni mbalimbali na watu binafsi. Documents tunazoandaa ni kama zifuatazo:
1. Business plans
2. Memorandum and articles of association kwa anayetaka kuanzisha kampuni
3. Project proposals kwa ajili ya kuombea pesa benki au saccoss
4. Feasibility study katika baadhi ya miradi
Delivery yake ni ya muda mzuri na kwa ubora wa juu.
0758 308193
UPDATE 03/05/22
Kuanzia tarehe hii ya update nimeanza kuandika business plans na proposal kwa ajili ya wajasiriamali wadogo wanaotaka kuanzisha miradi midogo midogo ya kujikimu na wanataka kuombea mikopo na mitaji kutoka taasisi za fedha au serikalini. Miradi modogo midogoi mfanoi kutengeneza mkaa mbadala, ushonaji, kutengeneza juice mbalimbali, mama lishe, biashara za usaciri, maduka nk. Business proposal 1 ya aina hii miradi midogo midogop ni tsh 50000 kwa proposal. Hizi ni biashara za mtaji chini ya tsh 2M.