Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Sasa kwann mnajificha Karagwe?... Kwasasa tuko kwenye maombi usitujaribu🙄
Sasa kwann mnajificha Karagwe?... Kwasasa tuko kwenye maombi usitujaribu🙄
Nawaza kimoyomoyo ndugu zangu Wamasai wanavyomwita Waziri Ummy Mwalimu, "ile dada wa Korona".Hilo ni kweli kabisa si kutajwa rais tu bali na waziri Ummy wakukumbukwa sana dada wa watu halali kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nyumba ya jirani wako karantini sasa hivi walichukuliwa mchana.. hadi usiku walikua wamepewa sim wakatupdate kila mmoja anachumba chake karantini.. ugonjwa upo sio kila mtu anaweza sema kilichotokea ata kama ikitokea wamesema unahakika gani umekisoma.. vipi kama maadmin wanafuta nyuzi za hivo!Ajabu sana kwamba humu Jf hakuna hata member mmoja ambaye ana ndugu katika hao wagonjwa wengi wa corona tunaofichwa na serikali wala hakuna member aliyefiwa na ndugu wala rafiki kwa kifo chenye kuhusishwa na corona. Yani humu wote tunasikia tu wagonjwa wa corona ni wengi na vifo ni vingi.
Bendera hizoNchemba aliposema takwimu zisitajwe, mlimpigia makofi na kumuunga mkono!
Ummy amesema ukweli usemwe, napo mmo!
Hivi nyie makada wa chama joka a.k.a mataga mna matatizo gani lakini...!?!
Vigeugeu sana nyie...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo ndo approved scientific solution ya kuzuia maambukizi zaidi Ila Kama yeye ana other solutions,aje atuambie serikali inafanya nini kupambana na ugonjwa huu na kuhakikisha watanzania tupo salama,hilo la kutuambia tuombe hilo tunalijua na yeye anajua kuwa serikali yetu haina dini Ila watanzania Wana dini zao.we want to hear from our government Yale serikali inafanya na si kutuambia haya tunayoyajua na tunayoyafanya everydayRaha yenu ni aseme total lockdown? Hiyo haiwezekani maana hata majirani zetu hapo malawi inaelekea kukataliwa..
Umekariri.Hiyo ndo approved scientific solution ya kuzuia maambukizi zaidi Ila Kama yeye ana other solutions,aje atuambie serikali inafanya nini kupambana na ugonjwa huu na kuhakikisha watanzania tupo salama,hilo la kutuambia tuombe hilo tunalijua na yeye anajua kuwa serikali yetu haina dini Ila watanzania Wana dini zao.we want to hear from our government Yale serikali inafanya na si kutuambia haya tunayoyajua na tunayoyafanya everyday
Asante mkuu acha tuchukue solution ya kunawa mikono,kuchapa kazi na kusali ili tusionekane tunaichallenge serikali tukufu kwa ajiri ya wateuleUmekariri.
Lockdown sio approved scientific solution but a mechanism to buy time as scientists battle their brains out for a better solutions...
Comment yako pia inaonyesha, you sre in for some argument, you wont take any solution offered sababu umeona hii kama nafasi ya kuichallenge serikali...
Kwa hiyo unataka kusemaje? Kwamba tutegemee maombi?Tanzania mnaichukulia kama iko ktk G20, haya ni madhara ya kuwa na international exposure.
Mkuu Kama unadhani lockdown ni kwa faida yangu tu au chadema,wewe endelea kuchapa kazi,mwambie na yeye atoke chato aje achape kazi mbona shughuli zipo nyingi sana wakati huu tunapoelekea uchunguzi,he has to finish strong mwambie atoke aanze ziaraRaha yenu ni aseme total lockdown? Hiyo haiwezekani maana hata majirani zetu hapo malawi inaelekea kukataliwa..
Wa nini mbona namuona kila siku kwenye TV akihamasisha tuchukue tahadhari ilkiwa ni pamoja kunawa mikono kwa maji tiririka na tusikumbatieneKwani Magufuli yupo wapi now
Comments zako zinanionyedha unatumia kivuli cha lockdown/ corona ila yuma ya pazia una chuki kali sana kwa rais na umepata pa kuitolea. Nafikiri wewe mi muathirika wa maamuzi yake mazuri kwa taifa hili.Mkuu Kama unadhani lockdown ni kwa faida yangu tu au chadema,wewe endelea kuchapa kazi,mwambie na yeye atoke chato aje achape kazi mbona shughuli zipo nyingi sana wakati huu tunapoelekea uchunguzi,he has to finish strong mwambie atoke aanze ziara
Comment mbofu mbofu hii.Kuna nyumba ya jirani wako karantini sasa hivi walichukuliwa mchana.. hadi usiku walikua wamepewa sim wakatupdate kila mmoja anachumba chake karantini.. ugonjwa upo sio kila mtu anaweza sema kilichotokea ata kama ikitokea wamesema unahakika gani umekisoma.. vipi kama maadmin wanafuta nyuzi za hivo!
Ngoja siku ukikugongea hodi nyumbani kwako ndio utaamini vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ni kiongozi msaidizi wa malaika mtarajiwa? Du una uwezo mkubwa wa kujua yaliyo katika moyo wa mtu aiseeComments zako zinanionyedha unatumia kivuli cha lockdown/ corona ila yuma ya pazia una chuki kali sana kwa rais na umepata pa kuitolea. Nafikiri wewe mi muathirika wa maamuzi yake mazuri kwa taifa hili.
Hii nimeiweka dustbin mkuu...Mkuu wewe ni kiongozi msaidizi wa malaika mtarajiwa? Du una uwezo mkubwa wa kujua yaliyo katika moyo wa mtu aisee