dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Mbona mnatuchanyanya hivi mkisema Miaka 60 ya UHURU wa TANZANIA mnakusudia hii Tanzania iliyozaliwa 64 au kuna nyengine?
Hivi waandishi wa habari na wanasiasa mnaosema UHURU WA TANZANIA hivi kweli hamjui historia yenu? Kwanini munainyanyapaa TANGANYIKA kiasi hiki?
Historia itabakia ni historia tuu hata mkitumia nguvu kiasi gani kuipotosha
Au Mimi ndio sifahamu haya mambo? Kama NI hivyo nielewesheni ni Tanzania gani iliyopata UHURU 1961?
Ni haya tu
Hivi waandishi wa habari na wanasiasa mnaosema UHURU WA TANZANIA hivi kweli hamjui historia yenu? Kwanini munainyanyapaa TANGANYIKA kiasi hiki?
Historia itabakia ni historia tuu hata mkitumia nguvu kiasi gani kuipotosha
Au Mimi ndio sifahamu haya mambo? Kama NI hivyo nielewesheni ni Tanzania gani iliyopata UHURU 1961?
Ni haya tu