Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Tanzania bara ipi wewe. Ni TanganyikaNi Uhuru wa Tanzania bara
Jina lilibadlishwa kisheria kuwa Tanzania Kama wewe unavyoweza badili jina tukasema Leo birthday ya Juma jina lako jipya baada ya kuslimu ukubwani na kubadili jina la asili la Chapombe na kuitwa Juma badala ya kuendelea nalo jina la Chapombe msikitini
Ni Uhuru wa Tanzania bara
Ila Zanzibar huwa hawataki Hilo wao huadhimisha uhuru.wa Zanzibar sio wa Tanzania visiwani!
Linatakiwa kuongeza neno bara nyuma kuwa ni uhuru wa Tanzania bara