Tuna uhakika gani kama wagombea wa CHADEMA tukiwachagua hawataomba kujiunga na CCM?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,852
141,771
Kumekuwa na taarifa kwamba kuna wabunge na madiwani wa upinzani ambao wameandika barua wakiomba kujiunga na CCM, wengine walijibiwa, wengine walikataliwa na wengine bado wanafikiriwa.

Sasa CHADEMA wanatuhakikishiaje kwamba hawa wabunge watarajiwa katika siku za usoni hawatatamani kujiunga na chama tawala kumuunga mkono mkuu wa nchi?........hali itakayopelekea kujiuzulu na kuturejesha tena uchaguzini. Usiku mwema!
 
Kumekuwa na taarifa kwamba kuna wabunge na madiwani wa upinzani ambao wameandika barua wakiomba kujiunga na CCM, wengine walijibiwa, wengine walikataliwa na wengine bado wanafikiriwa. Sasa Chadema wanatuhakikishiaje kwamba hawa wabunge watarajiwa katika siku za usoni hawatatamani kujiunga na chama tawala kumuunga mkono mkuu wa nchi?........hali itakayopelekea kujiuzulu na kuturejesha tena uchaguzini. Usiku mwema!
Uko sahihi kiongozi
 
hiyo ni ngumu kujua, maana hii imekaa ndani ya moyo wa mtu mwenyewe, ila kwanin uwaze hivyo? kazi yako wewe ni kumpitisha mgombe wenu kwa kura za kutosha!
 
Kumekuwa na taarifa kwamba kuna wabunge na madiwani wa upinzani ambao wameandika barua wakiomba kujiunga na CCM, wengine walijibiwa, wengine walikataliwa na wengine bado wanafikiriwa.

Sasa CHADEMA wanatuhakikishiaje kwamba hawa wabunge watarajiwa katika siku za usoni hawatatamani kujiunga na chama tawala kumuunga mkono mkuu wa nchi?........hali itakayopelekea kujiuzulu na kuturejesha tena uchaguzini. Usiku mwema!
Nyie malaya wa kiume mnaowanunua mkiacha mtakuwa mmejihakikishia mwisho wa biashara yenu
 
Kumekuwa na taarifa kwamba kuna wabunge na madiwani wa upinzani ambao wameandika barua wakiomba kujiunga na CCM, wengine walijibiwa, wengine walikataliwa na wengine bado wanafikiriwa.

Sasa CHADEMA wanatuhakikishiaje kwamba hawa wabunge watarajiwa katika siku za usoni hawatatamani kujiunga na chama tawala kumuunga mkono mkuu wa nchi?........hali itakayopelekea kujiuzulu na kuturejesha tena uchaguzini. Usiku mwema!
Hawatakiwi hao, wakichaguliwa soon watataka kujiunga na chama kubwa
 
Swali hili kamuulize DU ambaye kaamua kuchota mabilioni hazina ili aviue vyama vya upinzani kabla ya 2020. Muulize Je, ataacha kununua kwa mabilioni na vyeo wachumia tumbo toka upinzani ili kuirudisha nchi kwenye mfumo wa chama kimoja kama atakavyo kwa kuhofia hoja nzito za upinzani na kushindwa uchaguzi kwenye uchaguzi huru na wa haki!????


Kumekuwa na taarifa kwamba kuna wabunge na madiwani wa upinzani ambao wameandika barua wakiomba kujiunga na CCM, wengine walijibiwa, wengine walikataliwa na wengine bado wanafikiriwa.

Sasa CHADEMA wanatuhakikishiaje kwamba hawa wabunge watarajiwa katika siku za usoni hawatatamani kujiunga na chama tawala kumuunga mkono mkuu wa nchi?........hali itakayopelekea kujiuzulu na kuturejesha tena uchaguzini. Usiku mwema!
 
Muulize pia hayo mabilioni wanayolipwa wachumia tumbo wanalipia kodi ya mapato!?

Kumekuwa na taarifa kwamba kuna wabunge na madiwani wa upinzani ambao wameandika barua wakiomba kujiunga na CCM, wengine walijibiwa, wengine walikataliwa na wengine bado wanafikiriwa.

Sasa CHADEMA wanatuhakikishiaje kwamba hawa wabunge watarajiwa katika siku za usoni hawatatamani kujiunga na chama tawala kumuunga mkono mkuu wa nchi?........hali itakayopelekea kujiuzulu na kuturejesha tena uchaguzini. Usiku mwema!
 
Tuna uhakika gani kama hao waliojiuza CCM tukiwachagua hawatajiuza tena?
 
Niliandika mada kama hii moderators wakaifuta. labda hii wataiacha.
 
Back
Top Bottom