MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Ninachokiona sasa ni kuwa nec hii inayosoma matokeo ni tume ya kampeni ya chama cha mapinduzi na si tume ya taifa ya uchaguzi na hivyo tuna haki ya kuwa na tume independent ya taifa ya kusimamia uchaguzi.