Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,075
- 3,413
Ni watu wa visasi sana. Hawajui bado wanawatia raia hasira. Kama hao waliowadhania ni majambazi wakawaua, itakuwaje kama hawakuwa majambazi? Hawaoni uhasama utazidi kuongezeka?Back rush uliyoipata kuwatetea mashujaa naona imemfanya Mwanakijiji afungue uzi huu kusawazisha mambo.
Hiyo reaction waliyoionyesha ni ujumbe tosha kwa Waziri wa Mambo ya ndani, Police na Mkuu wa Nchi jinsi Jeshi let us la police lilivyo na mtizamo hasi kwa Raia wake.