Tuna shida Kubwa sana ya Wataalam wa Magari katika Maeneo haya

Mbona amesema specification za manufacturer zikoje na ushauri anaopewa sababu imepita kms 100,000

Mkuu naomba model ya gari yako, umri wake na kama imetembea zaidi ya km 100k au laa,
Matumizi ya oil yanatakiwa yaanzie kwenye specification ya manufacturer then kama hiyo grade haipo, then unaangalia alternative, naomba izo details nakusaidia sasa hivi.
 
Moja ya tatizo ambalo naliona katika mafundi wetu wengi au wataalamu ni kutothamini kazi zao.

Nlikuwa nmepeleka gari kwa fundi abadilishe Gearbox and Engine Oil. Lakini kabla ya hapo tayari mimi nlishasoma Manual ya gari inasema natakiwa niweke Engine Oil 5W30.

Nlisha fanya tafiti sana juu ya suala hili coz pia huwa napata shida kwa gari yenye engine kubwa ya 3000 CC. Mtu anataka aweke oil ambayo naona inawekwa kwenye engine za 2000 CC Je kitaalamu ni sawa? Hakuna uhusiano wa Ukubwa wa Engine na Oil husika?
This one ina 1300 CC. Mtaalam anasema aweke Engine Oil ya gari zenye 2000 CC. Hanipi sababu.

Fundi namuuliza anaponishauri niweke oil ya 20W50 namuuliza kwa nini. Anajibu hiyo ndiyo oil ambayo wengi wanaweka kwenye RAV 4 n.k but my car isnt RAV 4.

Lakini kwa nini uwekaji wa wengi iwe kigezo cha mimi pia kuweka hiyo? Hana sababu za kitaalam. Binafsi nimemwambia nataka niweke Oil bora kwa ajili ya kutunza Engine. But pia iwe sahihi kwa Gari ambayo imeshatembea kms 190,000.

Je hakuna wataalam ambao wanaweza kunipa maelekezo ya kitaalamu kwa nini niweke engine oil size tofauti na iliyokuwa recommended wakati gari mpya?

Napokuja kwenye upande wa Gear Box pia nakuta fundi hana majibu ya kutosheleza. Nimeshahangaika kwa mafundi wawili sasa. Mwishowe nimeenda Total wakitaka kuniuzia Oil yao Qualtz. Wanasema ni Oil nzuri kwa Engine.

Nahitaji maelezo kwa mhusika ananambia " we tumia tu utakuja kunambia mwenyewe" lengo langu si kutumia tu. Lengo langu ni kupata Elimu. Kila mara inapofika kufanya service najikuta napata shida sana kwa hawa wataalamu wetu

Unapotumia gari muda mrefu na aina ya oil huwa inabadilika kutokana na kms za gari husika. So wanasema haiwezekani ukaendelea kutumia oil ile ile baada ya Kms 100,000 kwa sababu kadhaa wa kadhaa.

Lakini pia hali ya hewa inachangia na mabadiliko ya Oil husika. Kama ni sehemu za baridi sana au Joto sana. Sasa wataalam wetu wengi hawajui hii tofauti. Kwao ni kumwaga na kuweka oil nyingine.

Hawajui kuna synthetic na "natural" oil lakini pia faida na hasara za hayo makundi mawili. Hii imekuwa tatizo kwa watu ambao tunataka kupata elimu. Nliuliza kwa muuzaji mmoja wa TOTAL EXCELLIUM inasaidiaje gari ku economize mafuta. Alinijibu inapunguza ulaji. nikamwuliza HOW? Akanambia nijaribu tu ntaona tofauti.

Binafsi naamini mafuta ya Total na Puma. Kuwa ni masafi na hawafanyi wizi ingawa hii PUMA YA HAPA SINZA KIJIWENI HUWA INANIPA MASHAKA SANA.

WATAALAM FAHAMUNI FIELD ZENU WATEJA WAENJOY HUDUMA ZENU.
Pole sana hapo ndipo unapoona faida ya DARASA, THEORIES , Mhe kumbuka 99.9% wataalam wetu walioko mitaani ni wale aidha hakusoma kbs hata darasa moja au darasa la saba failure ndio wanaanza u boy spanner hadi kuwa fundi.
Hata weza kabisa kujibu chochote kwa swali la HOW hiyo theory hana. anajua tu kubadili parts au ame kariri dama ya fungua funga tu

Ushauri wangu kwako cheza na 1. International Motorists Blogs kama za India, Singapore, U K n.k. 2. Tumia YOUTUBE karibu kila kitu utakipata na kufundishwa vizuri sana kama hilo la oil 3. Tafuta materials kwa ku google

Naamini maswali yako yoote utapata jibu, tunachangamoto kubwa sana hasa ukipata tatizo la automobile electronics kama vile control box/unite defaults itakuwaje ?
 
Boss hio 5W30 kwa 60,000 ni very fair price. Achana na hizo SAE40 za 28,000. 5w40 same price na 5W30. Tumia 5W40 inaenda 10,000k mara tatu ya SAE40 huoni gharama inapungua? Ila kwa mazijgira yetu ikifika km5000 au 6000 badili
Mkuu nadhani kuna vitu mnachanganya hapa km kutumia Inches na Centimeter kwa pamoja au pounds na kilograms japo mm sio mtaalam :

The motor oil grade is usually written as follows “XW-XX”. For example: SAE 10W-30, SAE 10W-40 or SAE 30. We already know what SAE stands for now let’s try to understand the other characters. “W” refers to ‘Winter’ and not weight as many people think. The number mentioned before W indicates the oil flow at 0 degrees Fahrenheit (-17.8 degree Celsius), which means that the lower that number, the less that oil will thicken in cold condition. In countries where the climate is usually cold, a motor oil with 0W or 5W viscosity would be ideal.
 
Mkuu nadhani kuna vitu mnachanganya hapa km kutumia Inches na Centimeter kwa pamoja au pounds na kilograms japo mm sio mtaalam :

The motor oil grade is usually written as follows “XW-XX”. For example: SAE 10W-30, SAE 10W-40 or SAE 30. We already know what SAE stands for now let’s try to understand the other characters. “W” refers to ‘Winter’ and not weight as many people think. The number mentioned before W indicates the oil flow at 0 degrees Fahrenheit (-17.8 degree Celsius), which means that the lower that number, the less that oil will thicken in cold condition. In countries where the climate is usually cold, a motor oil with 0W or 5W viscosity would be ideal.
Angalia wewe usijekuwa ndio anaechangany vitu.
 
Angalia wewe usijekuwa ndio anaechangany vitu.
Kwa uelewa wangu mdogo ninaoujua oil za magari zinawekwa kulungana na specification zake ambazo zinapatikana kwenye manual ya kitabu baada ya kununua gari na ieleweke tu asilimia 80% ya watanxania wananunua magari ambayo yameshatumika katika nchi nyingine hivyo oil ambayo huwa imekuwa recommended kwenye kitabu ni kwa gari ikiwa mpya tu lakini ikishafikisha kipindi kadhaa huwa wanashauri utumie oil ya namna gani! Kwanza tutambue kuna makundi makuu matatu ya oil

Kundi la kwanza ni la oil ambayo ni nyepesi sana Mara nyingi hizi zinapatikana kutokana na material ambayo yametokana na malighafi zilizotoa petrol ambapo huwa zinaandikwa conventional oil

Kundi la pili ni hizi oil ambazo zimeandikwa semi synthetic oil au conventional blend hizi ni oil ambazo zinapatikana baada ya kuchanganywa kwa material yaliyotoa petrol pamoja na chemical za viwandani

Na oil ya tatu ni full synthetic oil ambayo hii ni oil ambayo zinapatikana kwa kutengenezwa kwa chemical mbalimbali kutoka maabara na zinaaminika kuwa na viscosity (mgandamizo) mkubwa
Sasa tuachane na hizi drama za kusema natumia 5w40 au 0w20 au 10w40 nk hizi ni no tu kulingana na zinavyotengenezwa na endapo gari yako umeambiwa tumia 5w30 utakachokifanya wewe ni kuangalia kama gari yako imeshatembea umbali mrefu unatakiwa kuweka 5w30 ambayo ni full synthetic kwa ajili ya kulinda msuguano wa vyuma kwenye engine ikumbukwe kadri gari inavyokuwa na umri mrefu ndivyo nguvu ya engine inapungua uwezo na hata ukikoswa oil hiyo hawa watengenezaji huwa wanaweka mbadala wake kikubwa wanashauri tumia oil kulingana na hali ya hewa ya nchi husika kama nchi unayoish ina joto Kali unashauliwa kutumia oil yenye viscosity kubwa na kama nchi ni barid sana mfano wa nchi za ulaya unashauriwa kutumia oil yenye viscosity ndogo na thut's y magari mengi ya UK wanatumia oil ya 0w20 kwani sehemu ambayo ni baridi unatakiwa utumie oil yenye mgandamizo mdogo ili iwah kuchanganywa zaidi kwahyo point hapa ipo kuangalia kati ya hayo makundi matatu ya oil nitumie ipi kulingana na mahali nilipo
 
Kwa uelewa wangu mdogo ninaoujua oil za magari zinawekwa kulungana na specification zake ambazo zinapatikana kwenye manual ya kitabu baada ya kununua gari na ieleweke tu asilimia 80% ya watanxania wananunua magari ambayo yameshatumika katika nchi nyingine hivyo oil ambayo huwa imekuwa recommended kwenye kitabu ni kwa gari ikiwa mpya tu lakini ikishafikisha kipindi kadhaa huwa wanashauri utumie oil ya namna gani! Kwanza tutambue kuna makundi makuu matatu ya oil

Kundi la kwanza ni la oil ambayo ni nyepesi sana Mara nyingi hizi zinapatikana kutokana na material ambayo yametokana na malighafi zilizotoa petrol ambapo huwa zinaandikwa conventional oil

Kundi la pili ni hizi oil ambazo zimeandikwa semi synthetic oil au conventional blend hizi ni oil ambazo zinapatikana baada ya kuchanganywa kwa material yaliyotoa petrol pamoja na chemical za viwandani

Na oil ya tatu ni full synthetic oil ambayo hii ni oil ambayo zinapatikana kwa kutengenezwa kwa chemical mbalimbali kutoka maabara na zinaaminika kuwa na viscosity (mgandamizo) mkubwa
Sasa tuachane na hizi drama za kusema natumia 5w40 au 0w20 au 10w40 nk hizi ni no tu kulingana na zinavyotengenezwa na endapo gari yako umeambiwa tumia 5w30 utakachokifanya wewe ni kuangalia kama gari yako imeshatembea umbali mrefu unatakiwa kuweka 5w30 ambayo ni full synthetic kwa ajili ya kulinda msuguano wa vyuma kwenye engine ikumbukwe kadri gari inavyokuwa na umri mrefu ndivyo nguvu ya engine inapungua uwezo na hata ukikoswa oil hiyo hawa watengenezaji huwa wanaweka mbadala wake kikubwa wanashauri tumia oil kulingana na hali ya hewa ya nchi husika kama nchi unayoish ina joto Kali unashauliwa kutumia oil yenye viscosity kubwa na kama nchi ni barid sana mfano wa nchi za ulaya unashauriwa kutumia oil yenye viscosity ndogo na thut's y magari mengi ya UK wanatumia oil ya 0w20 kwani sehemu ambayo ni baridi unatakiwa utumie oil yenye mgandamizo mdogo ili iwah kuchanganywa zaidi kwahyo point hapa ipo kuangalia kati ya hayo makundi matatu ya oil nitumie ipi kulingana na mahali nilipo
ONGEZEA NA API GRADES HIZI NDIO GRADES ZA ENGINE OILS
1106766
 
Kwa uelewa wangu mdogo ninaoujua oil za magari zinawekwa kulungana na specification zake ambazo zinapatikana kwenye manual ya kitabu baada ya kununua gari na ieleweke tu asilimia 80% ya watanxania wananunua magari ambayo yameshatumika katika nchi nyingine hivyo oil ambayo huwa imekuwa recommended kwenye kitabu ni kwa gari ikiwa mpya tu lakini ikishafikisha kipindi kadhaa huwa wanashauri utumie oil ya namna gani! Kwanza tutambue kuna makundi makuu matatu ya oil

Kundi la kwanza ni la oil ambayo ni nyepesi sana Mara nyingi hizi zinapatikana kutokana na material ambayo yametokana na malighafi zilizotoa petrol ambapo huwa zinaandikwa conventional oil

Kundi la pili ni hizi oil ambazo zimeandikwa semi synthetic oil au conventional blend hizi ni oil ambazo zinapatikana baada ya kuchanganywa kwa material yaliyotoa petrol pamoja na chemical za viwandani

Na oil ya tatu ni full synthetic oil ambayo hii ni oil ambayo zinapatikana kwa kutengenezwa kwa chemical mbalimbali kutoka maabara na zinaaminika kuwa na viscosity (mgandamizo) mkubwa
Sasa tuachane na hizi drama za kusema natumia 5w40 au 0w20 au 10w40 nk hizi ni no tu kulingana na zinavyotengenezwa na endapo gari yako umeambiwa tumia 5w30 utakachokifanya wewe ni kuangalia kama gari yako imeshatembea umbali mrefu unatakiwa kuweka 5w30 ambayo ni full synthetic kwa ajili ya kulinda msuguano wa vyuma kwenye engine ikumbukwe kadri gari inavyokuwa na umri mrefu ndivyo nguvu ya engine inapungua uwezo na hata ukikoswa oil hiyo hawa watengenezaji huwa wanaweka mbadala wake kikubwa wanashauri tumia oil kulingana na hali ya hewa ya nchi husika kama nchi unayoish ina joto Kali unashauliwa kutumia oil yenye viscosity kubwa na kama nchi ni barid sana mfano wa nchi za ulaya unashauriwa kutumia oil yenye viscosity ndogo na thut's y magari mengi ya UK wanatumia oil ya 0w20 kwani sehemu ambayo ni baridi unatakiwa utumie oil yenye mgandamizo mdogo ili iwah kuchanganywa zaidi kwahyo point hapa ipo kuangalia kati ya hayo makundi matatu ya oil nitumie ipi kulingana na mahali nilipo
Siku hizi sipendi kupoteza muda nimekuwa mvivu kuandika hata mistari miwili
 
Mkuu kwa kuwa gari ya kwako basi jukum la kuifuatilia na kuitunza ni lako pia..huo ujuzi unaoutaka au elim unayotaka sio kwa mafundi tuu unaweza ukafika hata kwa dealer huto upata inshort wengi twaishi kwa mazoea tuu..

.

Hii inatupa sana shida na kuua magari na kuyaharibu sana.

Mkuu naomba namba yako
 
Ngoja kwa kuwa hili ni jukwaa letu .ngoja nijifunze jinsi ya kupakia file na softwere jf ili kila mdau aweza kufaidi maisha ya magari na technologia ni marahisi sana kila kitu kiganjani mwako..na softwere nyingi sana ww utapata kila kitu kwenye gari yako ni mwendo wa kuingiza chasisi number harafu unapata takataka zote utakazo..

Ukitaka spare sijui gari yako inatumia oil gani.unapata humo
 
WAKATI UNACHAGUA GARI LA KUNUNUA ,SWALI JE UNACHAGUA AINA YA BODY LINALO BEBA INJINI AU AINA YA INJINI ??

Niswali la kijinga sana na swali zuri nineona tushare pamoja, watu wengi nimeona sana hungaika jinsi ya kununua magari ,

Wapo wengine huja watu kibao wakijazan kwenye gari kuja kukagua gari, au mke anabeba mume hata kama mume ana digrii ya mapishi au fundi ujenzi akidhani ana uelewa wa magari , wengine hubeba mke akija kuangalia gari lipi wanunue ,wakati mke hajui hata huwa wanaweka oil au maji.

KWANINI NASEMA HIVYO

Nimeona watu wakipata hasara kuagiza gari akiwa anangaliaa rangi cc na gari imetembea kilometa ngapi, yani hivo kwake ameona kama amesamehewaa dhambi mbinguni,kumbe gari likija sasa anakimbilia kuuza, kwa kisingizio nataka kubadili gari.

SASA KIPI KIFANYIKE??
Kwanza ya kuanza kujua uchague kwa kuangalia vigezo vipi hemu kwanza tuangalie mtazamo wa watengenezaji wa magari hutizama nini , haya sasa hemu pikicha mavho tayari kwa kufatilia;

Watengenezaji wa magari kila mwaka wakitengeneza magari hufikiria body gani au desgn gani ya body litengenezwe kukidhi mteja??

Kwenye body au model huzingatia nini??

•Huangalia zaidi muonekano mzuri na angle za
Gari
•Huangalia usalama wa mtumiaji
•Huangalia zaidi umaridadi wa ndani na nje,kamaa taa,show ya mbele,ndani kama radio na seats za kupendeza (kama ziwe velvex au leather)

Kwa Upande wa Injini mainjinia wengi wa magari hapa huamua kwa ujumla waboreshe nini kwenye injini zao zilizotengenezwa nyuma
Mara nyingi hutizama ulaji wa mafuta na speed na nguvu ya injini.

Hivyo tekinolojia /mfumo au phase moja ya injini hukaa muda mrefu, kwa mfano kwa sasa mfumo waa VVTi na D4s ni mfumo wa muda mrefu kidogo nadhani bado hakuna invention mpya kwa sasa

Ila wao huamua watengeneze injini hizo hizo kwa CC kubwa au ndogo, kwa kupunguza ukubwa wa piston na idad ya piston ila tecknolojia moja na mfumo mmjaa.

Watatengeza 1NZ,2NZ,1AZ,2AZ , IJZ,2JZ,IKD,2KD, IZZ ,IKR ,4GR

Japakuwa injini nyingi za toyota hapa Tanzania
Tunanua familia ya AZ injini , ambazo ni matokeo ya muendelezo wa injini za S series, tulisikiaga 4s,3s ,5s na nyinginezo zenye mfumo wa distributor lakini leo tuna familia ya AZ , ndo maana tuna 1ZZ,2NZ,1NZ

sasa hapo ndio umakini unahtajika,ni mfumo mmoja ila CC tofauti,na watalaamu jinsi unavo nunua injini ya CC ndogo ndivyo uimara hupungua zaidi.

Kwa UJUMLA ikoje.

Sasa kila designer /body wa gari, huchagua injini afunge ?? Iwe D4, au AZ, pamoja na ukubwa wa injini ,

Utakuta verossa ina injini 1G na ingine 1JZ sasa ukiikuta VERROSA njiani inaumwa kila siku usihukumu Body la VERROSA ,fahamu kuna injini gani imo humo??
Maana 1G haisumbui kama IJZ. ila utakuta mtu anaihukumu Gari kuwa walikose.

Utakuta PASSO moja ina 1KR FE na nyingine 1KJ , Moja ina Cc 900 na nyingne ni CC 1200. Ila ya cc 900 huwa inaumwa sana kuliko cc 1200. Sasa usikuhukumu PASSO ila injini iliomo . kwa sababu kuna PASSO ni zina cc 1200 sawa na VITS .

Leo tuna KLUGER NA HARRIER , hapo unaachagua body tu, injini na matumizinya mafuta sawa kama zimefungwa familia za AZ , yaani injini ya 2AZ , japokuwa zipo Harrier new model zina 1MZ zinasumbua sana hivyo kuhukumu Toyota Harrier ni mbaya ila inijini.
KWA UJUMLA KAMA WAKIAMUA KUBUNI GARI HUBUNI BODY , KISHA HUCHAGUA INJINI TAYARI AMBAZO ZIPO NA KUFUNGA
NDIYO MAANA UNAKUTA MAGARI MENGI YANA INJINI MOJA TU. HUCHAGUA INJINI GANI ZINAFANYA VIZURI ZAIDI.
NDO MAANA IZZ, 2AZ ni zimefungwa zaidi katika magari mengi.

Kipi kifanyike, unaponunua??

Unapo nunua fahamu unanunu injini familiaa gani ? Hapa ndio injini zote za toyota, zimepangwa kwa Herufi .


List of Toyota engines
A
Toyota A engine
Toyota Type A engine
Toyota AD engine
Toyota AR engine
Toyota AZ engine
B
Toyota B engine
Toyota Type B engine
C
Toyota Type C engine
Toyota C engine
Toyota CD engine
Comparison of Toyota hybrids
E
Toyota E engine
Toyota Type E engine
F
Toyota F engine
Toyota FZ engine
G
Toyota G engine
Toyota GD engine
Toyota GR engine
Toyota GZ engine
H
Toyota H engine
Toyota HD engine
Toyota HZ engine
J
Toyota J engine
Toyota JZ engine
K
Toyota K engine
Toyota KD engine
Toyota KR engine
Toyota KZ engine
L
Toyota L engine
Toyota LR engine
M
Toyota M engine
Toyota MZ engine
N
Toyota N engine
Toyota ND engine
Toyota NR engine
Toyota NZ engine
P
Toyota P engine
Toyota PZ engine
R
Toyota R engine
Toyota RZ engine
S
Toyota S engine
Toyota SZ engine
Toyota Type S Engine
T
Toyota RI4A
Toyota T engine
Toyota TR engine
Toyota TZ engine
U
Toyota U engine
Toyota UR engine
Toyota UZ engine
V
Toyota V engine
Toyota VD Engine
Toyota VZ engine
W
Toyota W engine
Toyota WW engine
Y
Toyota Y engine
Z
Toyota ZR engine
Toyota ZZ engine

KUANZIA LEO JIULIZE UJIHUKUMU KUWA HUWA UNA NUNUA AINA YA BODY AU INJINI?? UNAPENDA IST KWA SABABU YA AINA YA INJINI ILIOMO HAITUMII MAFUTA ?. AU MBONA KUNA RUNX NA ALLEX NI BORA KULIKO IST KATIKA MATUMIZI ??
Shule kubwa...thank you
 
Kwa sababu umesema gari yako imetembea zaidi ya km 100000 nashauri weka 5w40 ambayo ni synthetic lakini kitu kikubwa na cha msingi ambacho tunatakiwa kukielewa kwa kina zaidi ili engine ya gari yako iwe imara siku zote tunatakiwa kubadilisha oil kila baada ya miles 3000-5000 haijalish ni oil gani unatumia naona hilo ndo swala la muhimu tusifuate Yale maandish ya kwenye madumu ya oil maana ile ni biashara kama biashara nyingine
Dah mi huwa nafuata maandishi..ngoja kesho nikabadilishe.
 
Back
Top Bottom