Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Waungwana,
Ninapenda kutangaza ya kwamba, tunayo ardhi ya shamba yenye ukubwa wa eka 1,000 na tunatafua wafadhili wa kuanzisha kilimo. Eneo halijawahi kulimwa na wataamu wanasema eneo hilo linaweza kulimwa bila ya mbolea kwa miaka mitano. Eneo lipepitiwa na mto kwahivo ni urahisi kupata maji ya irrigation
kilimo kinachoweza kupendekezwa ni pamona na aloe vera, sun flower na cash crops kwa pamoja.
Mtu yeyote anaweza kuivest au uanyejuwa wapi tunaweza kupata investment tuko tayari kushirikiana nae, na kutakuwa na maandishi ya kusheria baina yetu.
Kwa maelezo zaidi niandikie
ahsante
Ninapenda kutangaza ya kwamba, tunayo ardhi ya shamba yenye ukubwa wa eka 1,000 na tunatafua wafadhili wa kuanzisha kilimo. Eneo halijawahi kulimwa na wataamu wanasema eneo hilo linaweza kulimwa bila ya mbolea kwa miaka mitano. Eneo lipepitiwa na mto kwahivo ni urahisi kupata maji ya irrigation
kilimo kinachoweza kupendekezwa ni pamona na aloe vera, sun flower na cash crops kwa pamoja.
Mtu yeyote anaweza kuivest au uanyejuwa wapi tunaweza kupata investment tuko tayari kushirikiana nae, na kutakuwa na maandishi ya kusheria baina yetu.
Kwa maelezo zaidi niandikie
ahsante