RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Habar zenu! Wan JF
Kuna Mambo humu watu wanaleta na hata mtu ukifikiria unasema kweli huyu anahitaji msaada! lakini kuna mambo Mengine huwa najiuliza hvi mtu amekaa kwanza akafikiria jinsi ya kulitatua au amefanya uchunguzi kwanza.. Au kwa vile ni member wa Humu,kwa hyo hana mda wa kufikiria Ngoja alitupe JF..
Tuwe na mda kwanza wa kufikiria ndo baadae tuwek..matatz yetu
Ndo mana kuna watu wakitupia thread zao uambulia Matuc mana inaonekan kam hakufikria kwanz.. Nawasilisha.
Kuna Mambo humu watu wanaleta na hata mtu ukifikiria unasema kweli huyu anahitaji msaada! lakini kuna mambo Mengine huwa najiuliza hvi mtu amekaa kwanza akafikiria jinsi ya kulitatua au amefanya uchunguzi kwanza.. Au kwa vile ni member wa Humu,kwa hyo hana mda wa kufikiria Ngoja alitupe JF..
Tuwe na mda kwanza wa kufikiria ndo baadae tuwek..matatz yetu
Ndo mana kuna watu wakitupia thread zao uambulia Matuc mana inaonekan kam hakufikria kwanz.. Nawasilisha.