Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,494
Hope wana JF wazima wa afya tele na hongera kwa kumpata kiongozi wenu kwa amani...
Twende kwenye mada.
Nimebahati kufanya kazi nchini Marekani kwa miaka 3 sasa kwa kweli nimejifunza vitu vingi sana hasa katika biashara na mambo mengine.
Ila kuna siku nikiwa kazini kuna swali nilijiuliza kwanini wamarekani wanafanikiwa sana, yaani hawana elimu kubwa na wengine hawana kabisa, hasa nikawa najiuliza hivi hawa watu kwanini wanafanikiwa na biashara yao kuishi kwa miaka mingi zaidi na kuendelea kukua siku hadi siku,
Moja ya sababu katika sababu kuu nilizopata ni kwenye mfumo wa kuendesha biashara zetu. Mfano:
Mfumo wa Tanzania
Mmiliki: Rashidi fulani
Muendeshaji: Rashidi fulani
Msimamizi: Rashidi fulani
Mtafuta masoko: Rashidi fulani
Mtoa report: Rashidi fulani
Msemaji: Rashidi fulani
Mfumo wa Marekani.
Mmiliki: Jeff Bezos
Muendesha : Juma Congo
Mshauri : Khadija Tanzanite
reporter : Kin Nigga
Nk........
Wenzetu wanaamini kuwa huwezi kuwa bora kwa kila kitu, unaweza kuwa na wazo lakini ukakosa namna ya kulauch wazo lako, hivyo basi tafuta mtu wa kuendesha wazo.
Mfano: Amazon, facebook, alibaba
Wote wanakauli moja wakisema mafanikio yao yalitokana na watu waliofanya nao kazi na si elimu ya darasa,licha wazo alikuwa nalo.
Unapokuwa na wazo lako ni wakati mzuri wa kutafuta watu kuendesha wazo lako na tafuta watu smart kuendesha biashara yako.
Una biashara kubwa unataka kila kitu uendeshe wewe,akili yako haiko smart kufanya yote hayo.
Asante
Twende kwenye mada.
Nimebahati kufanya kazi nchini Marekani kwa miaka 3 sasa kwa kweli nimejifunza vitu vingi sana hasa katika biashara na mambo mengine.
Ila kuna siku nikiwa kazini kuna swali nilijiuliza kwanini wamarekani wanafanikiwa sana, yaani hawana elimu kubwa na wengine hawana kabisa, hasa nikawa najiuliza hivi hawa watu kwanini wanafanikiwa na biashara yao kuishi kwa miaka mingi zaidi na kuendelea kukua siku hadi siku,
Moja ya sababu katika sababu kuu nilizopata ni kwenye mfumo wa kuendesha biashara zetu. Mfano:
Mfumo wa Tanzania
Mmiliki: Rashidi fulani
Muendeshaji: Rashidi fulani
Msimamizi: Rashidi fulani
Mtafuta masoko: Rashidi fulani
Mtoa report: Rashidi fulani
Msemaji: Rashidi fulani
Mfumo wa Marekani.
Mmiliki: Jeff Bezos
Muendesha : Juma Congo
Mshauri : Khadija Tanzanite
reporter : Kin Nigga
Nk........
Wenzetu wanaamini kuwa huwezi kuwa bora kwa kila kitu, unaweza kuwa na wazo lakini ukakosa namna ya kulauch wazo lako, hivyo basi tafuta mtu wa kuendesha wazo.
Mfano: Amazon, facebook, alibaba
Wote wanakauli moja wakisema mafanikio yao yalitokana na watu waliofanya nao kazi na si elimu ya darasa,licha wazo alikuwa nalo.
Unapokuwa na wazo lako ni wakati mzuri wa kutafuta watu kuendesha wazo lako na tafuta watu smart kuendesha biashara yako.
Una biashara kubwa unataka kila kitu uendeshe wewe,akili yako haiko smart kufanya yote hayo.
Asante