Tuna imani na Tanesco

utemi

Senior Member
Mar 27, 2011
167
23
Tuna imani na Tanesco
oyaa oyaa oyaaa , Tanesco
kweli ..,kweli...., kweli,
kweli kweli kweli,
Tanesco kweli Kweli , kweli.....Kweli ,kweli kweli x 2
 
sina imani na tanesco
Tuna imani na Tanesco
tanesco ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii oyaa oyaa oyaaa , Tanesco
tanesco ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kweli ..,kweli...., kweli,
tanesco ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kweli kweli kweli,
tanesco ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Tanesco kweli Kweli , kweli.....Kweli ,kweli kweli x 2
 
Mtoa mada wewe ni mtoto wa fisadi au ni fisadi mwenyewe la sivyo mchezo wako ni mauti kwa wengine. Ukitulia bila kuongea pumba ni heshima pia
 
nadhani mtoa mada katumia luga ya picha,kaboreka na utendaji kazi wa tanesco. nadhani shirika limeelewa sana wanahitaji kuiga ya wenzetu,Ni vigumu kwa nchi maskini shirika moja la umeme liweze kufanya kazi yakuzalisha umeme, kusambaza, kusafirisha,kuweka miundombinu .Inatakiwa wabakie na kazi moja tu ya kuuza umeme basi.Miundo mbinu, kusafirisha na kuzalisha umeme wapewe makapuni tofauti,mfano kuzalisha waachiwe kampuni moja,kutandanza nyaya nk(miundombinu) wapewe kampuni ingine hapo tutafika,kutakuwa na ushindani mkubwa ili kila kampuni iweze kupata faida,bila hivo hatutafika.Tutalia na mgao kila siku kisa tunategemea maji na hawa wakoloni wa songas.Maeneo mengi zalishi bado hayajafanyiwa kazi yao tu kama Kiwira,umeme wa upepo singida,mto malagarasi nk nk
 
nadhani mtoa mada kaboreka mbaya mpaka kaamua kusifia penye uozo, ujumbe tosha saaaaaaaaaana tuu.
 
Back
Top Bottom